Vipi hii gari - alteza gita!

Vipi hii gari - alteza gita!

Altezza na Forester zinalingana engine size!

Tupishe na subaru etc zako kama umeshindwa kichangia altezza....sambaaa.....

Back to topic mkuu wewe chukua tu hiyo altezza ni gani nzuri kwa safari ndefu na kama mchangiaji wa mwanzo alivyo sema...kwa masafa marefu ambayo si ya barabara mbovu kama za tabora na kigoma kwa kweli utafurahia....ila warning speed kill na hizi gari kwa kweli kwa mwendo utajikuta 180 k/hr kila mara kama njia ya Dodoma singinda,singinda nzega...ni balaa

Wasalaam.
 
Tupishe na subaru etc zako kama umeshindwa kichangia altezza....sambaaa.....

Back to topic mkuu wewe chukua tu hiyo altezza ni gani nzuri kwa safari ndefu na kama mchangiaji wa mwanzo alivyo sema...kwa masafa marefu ambayo si ya barabara mbovu kama za tabora na kigoma kwa kweli utafurahia....ila warning speed kill na hizi gari kwa kweli kwa mwendo utajikuta 180 k/hr kila mara kama njia ya Dodoma singinda,singinda nzega...ni balaa

Wasalaam.

Hahahaa, poa boss, nlikuwa sijafahamu kama thread hii ni yako!
 
Hahahaa, poa boss, nlikuwa sijafahamu kama thread hii ni yako!

Ha ha aha.....umetusumbua sana na kutushawishi Subaru wakati mkuu pale juu kataja kabisa ni gari gani anaomba ushauri wewe una chakachua uzi wake...mwengine pale kakwambia kabisa...kuwa anauliza Altezaa..wewe umekomaa tu na Subaru forester zinalinga na na Altezaa..Kabang.....Salimia pande hizi.....kueleweshana tu.
 
Ha ha aha.....umetusumbua sana na kutushawishi Subaru wakati mkuu pale juu kataja kabisa ni gari gani anaomba ushauri wewe una chakachua uzi wake...mwengine pale kakwambia kabisa...kuwa anauliza Altezaa..wewe umekomaa tu na Subaru forester zinalinga na na Altezaa..Kabang.....Salimia pande hizi.....kueleweshana tu.

Usihofu mkuu, skuwa na nia ya kumpotosha jamaa. Nilikuwa namweleza tu yule mwingine my prefference! Hata hivyo mbona nimetoa mchango wangu wa kutosha wa ALTEZZA GITA aliyoitaka mwenye thread, jaribu kupitia post zangu hapo juu!
 
Thanks alot wakuu kwa ushauri mziri@ hope Alteza Gita ndo namaanisha! Big uo great thinkers appreciate u all...
 
Ha ha aha.....umetusumbua sana na kutushawishi Subaru wakati mkuu pale juu kataja kabisa ni gari gani anaomba ushauri wewe una chakachua uzi wake...mwengine pale kakwambia kabisa...kuwa anauliza Altezaa..wewe umekomaa tu na Subaru forester zinalinga na na Altezaa..Kabang.....Salimia pande hizi.....kueleweshana tu.
Mkuu Buswelu nashukuru kwa kumsaidia huyu jamaa, maana nimejaribu kumsaidia kibusara, lakini amekuwa mgumu kuelewa, nimeona bora nimuache afurahishe moyo wake.

Huwezi kuombwa ushauri na mwenzako kuhusu kitu "specific" na sifa zake umetajiwa, hujui pia mfuko wake ukoje halafu mtu mmoja "from no where" anamshauri kitu kingine tofauti kabisa. Nafikiri ingekuwa busara na yeye akaleta uzi wake wenye kuisifia Subaru ili wadau waitendee haki.
 
Tupishe na subaru etc zako kama umeshindwa kichangia altezza....sambaaa.....

Back to topic mkuu wewe chukua tu hiyo altezza ni gani nzuri kwa safari ndefu na kama mchangiaji wa mwanzo alivyo sema...kwa masafa marefu ambayo si ya barabara mbovu kama za tabora na kigoma kwa kweli utafurahia....ila warning speed kill na hizi gari kwa kweli kwa mwendo utajikuta 180 k/hr kila mara kama njia ya Dodoma singinda,singinda nzega...ni balaa

Wasalaam.
Ni kweli kabisa mkuu, uzuri wake ukiwa umefunga vioo, kipupwe full, njia nzuri mashine imetulia sana. Utashtuka tu ukipigiwa siren "king'ora" tu.
 
Mkuu Buswelu nashukuru kwa kumsaidia huyu jamaa, maana nimejaribu kumsaidia kibusara, lakini amekuwa mgumu kuelewa, nimeona bora nimuache afurahishe moyo wake.

Huwezi kuombwa ushauri na mwenzako kuhusu kitu "specific" na sifa zake umetajiwa, hujui pia mfuko wake ukoje halafu mtu mmoja "from no where" anamshauri kitu kingine tofauti kabisa. Nafikiri ingekuwa busara na yeye akaleta uzi wake wenye kuisifia Subaru ili wadau waitendee haki.

Hivi kuna sehemu nimemshauri anunue kitu kingine? Nilikuwa naongea tu kubwa binafsi napendelea Sub kuliko hizo Altezza, na hiyo ni baada ya kukusaidia wewe uliyekosea kuweka ALTEZZA badala ya ALTEZZA GITA aliyoombea ushauri jamaa, nadhani hauelewi kuwa hayo ni magari mawili tofauti. HAYA, MSHAURI SASA KUHUSU ALTEZZA GITA, SIYO ALTEZZA UNAYOIPENDA WEWE!

One Love
 
Mkuu Buswelu nashukuru kwa kumsaidia huyu jamaa, maana nimejaribu kumsaidia kibusara, lakini amekuwa mgumu kuelewa, nimeona bora nimuache afurahishe moyo wake.

Huwezi kuombwa ushauri na mwenzako kuhusu kitu "specific" na sifa zake umetajiwa, hujui pia mfuko wake ukoje halafu mtu mmoja "from no where" anamshauri kitu kingine tofauti kabisa. Nafikiri ingekuwa busara na yeye akaleta uzi wake wenye kuisifia Subaru ili wadau waitendee haki.

aaah,jf bhana inanipa raha sana kila wazo hapa lina mantiki
 
Hivi kuna sehemu nimemshauri anunue kitu kingine? Nilikuwa naongea tu kubwa binafsi napendelea Sub kuliko hizo Altezza, na hiyo ni baada ya kukusaidia wewe uliyekosea kuweka ALTEZZA badala ya ALTEZZA GITA aliyoombea ushauri jamaa, nadhani hauelewi kuwa hayo ni magari mawili tofauti. HAYA, MSHAURI SASA KUHUSU ALTEZZA GITA, SIYO ALTEZZA UNAYOIPENDA WEWE!

One Love
Unachobisha wewe wenye busara walikwisha kuelewa na ndio maana wanakujibu.

Mtu na busara zake hawezi kuhangaika kuelewa alichouliza mtoja mada ilikuwa ni uwezo wa kumudu safari fupi na ndefu za Gari la Altezza yenye CC 1980, labda kukusaidia tu ni kwamba kuna Altezza kama niliyoonesha mimi ambayo ina ujazo wa injini 2000-2500cc.

Watu wanakushangaa kwa kukomalia Shepu ya bodi badala ya kuegemea kwenye uwezo wa gari husika kama mtoa mada alivyotaka. Mwisho wa siku utasema Land Cruiser Mkonga Pick Up na Land Cruiser Mkonga SUV ni vitu viwili tofauti kiuwezo wa mashine.
 
Unachobisha wewe wenye busara walikwisha kuelewa na ndio maana wanakujibu.

Mtu na busara zake hawezi kuhangaika kuelewa alichouliza mtoja mada ilikuwa ni uwezo wa kumudu safari fupi na ndefu za Gari la Altezza yenye CC 1980, labda kukusaidia tu ni kwamba kuna Altezza kama niliyoonesha mimi ambayo ina ujazo wa injini 2000-2500cc.

Watu wanakushangaa kwa kukomalia Shepu ya bodi badala ya kuegemea kwenye uwezo wa gari husika kama mtoa mada alivyotaka. Mwisho wa siku utasema Land Cruiser Mkonga Pick Up na Land Cruiser Mkonga SUV ni vitu viwili tofauti kiuwezo wa mashine.

Hahahaa, haya bhana UKO SAHIHI, MIMI SIPO SAHIHI! Naona Tunabishana kwenye thread ya watu ngoja tuishie hapa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom