Vipi hii gari - alteza gita!

Vipi hii gari - alteza gita!

KingRay

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2013
Posts
516
Reaction score
291
Waungwana hii gari Alteza Gita inafaa kwa matumizi ya kawaida na safari ndefu kidogo 1980cc!
Help me waungwana....
 
Hiyo mashine imekamilika mkuu, nimewahi kuitumia kutoka Dar-Kigoma na nikarudi nayo. Sema tu kama ni kwa safari zakutumia rough roads itakusumbua kwa kuwa zipo chini kidogo.

Mimi ilinisumbua kidogo msitu wa nyakanazi pale kutokana na kuwa chini lakini niliposhika lami ya Biharamulo mpaka Kahama niliwakamata wote. Walinikuta najiandaa kuondoka baada ya kupumzika na kuchukua kuku Singida.
 
Thanks alot Grafani11- nimekupata vizuri sana mkuu! dats y i like Jf....All the best mkuu on the way back......Be safe.
 

Attachments

  • My Altezza-front.jpg
    My Altezza-front.jpg
    29.9 KB · Views: 238
  • My Altezza-Rear.jpg
    My Altezza-Rear.jpg
    25.6 KB · Views: 224
  • My Altezza-Interior1.jpg
    My Altezza-Interior1.jpg
    26.8 KB · Views: 190
  • My Altezza-Boot.jpg
    My Altezza-Boot.jpg
    35.1 KB · Views: 163
  • My Altezza-left.jpg
    My Altezza-left.jpg
    29.3 KB · Views: 171
Hii siyo Alteza Gita mkuu! GITA siyo SEDAN, ni HATCHBACK..! Hii ni TOYOTA ALTEZZA!
Mkuu hiyo ni sawa lakini hata hii ni Alteza na ina CC 1980 kama hiyo, tofauti ni muundo wa bodi.
 
Mkuu hiyo ni sawa lakini hata hii ni Alteza na ina CC 1980 kama hiyo, tofauti ni muundo wa bodi.

Uko sahihi Mkuu, Japo GITA nyingine zina engine ya 2JZ 2990cc! ALTEZZA nyingi zina 1G 1980cc na 3S 1990cc!
 
Mkuu mtoa mada ameulizia kuhusu yenye 1980cc.

Kweli Mkuu, nilikuwa najaribu kufafanua tu. BTW, i preffer Subaru Forester kuliko hizi ALTEZZA! Subaru ikitulia barabarani kuikuta ni utata!
 
Waungwana hii gari Alteza Gita inafaa kwa matumizi ya kawaida na safari ndefu kidogo 1980cc!
Help me waungwana....

iko poa ila kama unataka nunua nakushauri ununue ALTEZA yenyewe sio gita!!
 
Kweli Mkuu, nilikuwa najaribu kufafanua tu. BTW, i preffer Subaru Forester kuliko hizi ALTEZZA! Subaru ikitulia barabarani kuikuta ni utata!
Lete sifa zake. Wakati unaleta sifahizo egemea kwenye mada kwakuwa mtoa mada kwa kutokana na sabau moja au nyingine amependa Altezza Gita tena na sifa zake amezitaja.
 
Lete sifa zake. Wakati unaleta sifahizo egemea kwenye mada kwakuwa mtoa mada kwa kutokana na sabau moja au nyingine amependa Altezza Gita tena na sifa zake amezitaja.

Lol, ngoja tusiharibu thread ya jamaa Mkuu. Btw, sifa alizotaja mleta mada nini nini zaidi ya ukubwa wa engine
!
 
Lol, ngoja tusiharibu thread ya jamaa Mkuu. Btw, sifa alizotaja mleta mada nini nini zaidi ya ukubwa wa engine
!
Nimesema hivyo kama angalizo kwa kuwa ukubwa wa injini ya Subaru unaijua kwa maana ya CC, na huwezi kujua pendekezo la mtoa mada limetokana na sababu zipi, pengine ni kutokana na less fuel consumption yake wewe unataka kumpa high fuel consumption.
 
Nimesema hivyo kama angalizo kwa kuwa ukubwa wa injini ya Subaru unaijua kwa maana ya CC, na huwezi kujua pendekezo la mtoa mada limetokana na sababu zipi, pengine ni kutokana na less fuel consumption yake wewe unataka kumpa high fuel consumption.

Altezza na Forester zinalingana engine size!
 
Samahani kwa kudandia uzi wa watu!! Naomba ushauri kuhusu "Nissan Wingroad" ya cc1500 vipi inapiga mzigo fresh kibongobongo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom