GE2025 Vipi CHAUMMA wameshinda viti vingapi vya ubunge?

GE2025 Vipi CHAUMMA wameshinda viti vingapi vya ubunge?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mto wa mbu

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2021
Posts
4,134
Reaction score
9,627
It is a dark history in our country kuwapoteza ndugu zetu, poleni saaaana Watanzania wenzangu.

Back to the topic G55 walijitoa Chadema na Kila siku walikuwa wanaitisha ma press conference kuiponda Kwa kugomea kushiriki uchaguzi.

Waliamua kushiriki uchaguzi, naomba kuuliza wameshinda majimbo mangapi?

Vipi
Catherine Ruge
Moza Ally
Yeriko Nyerere
Suzana Kiwanga
Aisha Madoga
Kaiza
N.k

Je Kwa kupata kura za urais less than 1% watapata kitu chochote Cha ubunge wa vitu maalumu?

Niitieni CHAUMMA
 
Umeniwahi uzi wangu nami ndiyo nilikuwa naandika kuuliza swali hasa Kigamboni kwa chawa Yerico Nyerere
 
Umeniwahi uzi wangu nami ndiyo nilikuwa naandika kuuliza swali hasa Kigamboni kwa chawa Yerico Nyerere
 
It is a dark history in our country kuwapoteza ndugu zetu, poleni saaaana Watanzania wenzangu.

Back to the topic G55 walijitoa Chadema na Kila siku walikuwa wanaitisha ma press conference kuiponda Kwa kugomea kushiriki uchaguzi.

Waliamua kushiriki uchaguzi, naomba kuuliza wameshinda majimbo mangapi?

Vipi
Catherine Ruge
Moza Ally
Yeriko Nyerere
Suzana Kiwanga
Aisha Madoga
Kaiza
N.k

Je Kwa kupata kura za urais less than 1% watapata kitu chochote Cha ubunge wa vitu maalumu?

Niitieni CHAUMMA

Sasa wanasubiria teuzi .....!!
 
Umeniwahi uzi wangu nami ndiyo nilikuwa naandika kuuliza swali hasa Kigamboni kwa chawa Yerico Nyerere
 
Umeniwahi uzi wangu nami ndiyo nilikuwa naandika kuuliza swali hasa Kigamboni kwa chawa Yerico Nyerere
 
Back
Top Bottom