GE2025 Vipi CHAUMMA wameshinda viti vingapi vya ubunge?

GE2025 Vipi CHAUMMA wameshinda viti vingapi vya ubunge?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Lissu, Heche na CHADEMA wameponea chupuchupu kama bahati ya mtende kuotea jangwani. Wale wajuba na chama chao hawakuhusika kabisa na vurugu za uchaguzi, sijui walinusa nini watu wale. Kuwekwa kwao ndani kumewanusuru na mengi mabaya!
MUNGU anawapenda sn
 
It is a dark history in our country kuwapoteza ndugu zetu, poleni saaaana Watanzania wenzangu.

Back to the topic G55 walijitoa Chadema na Kila siku walikuwa wanaitisha ma press conference kuiponda Kwa kugomea kushiriki uchaguzi.

Waliamua kushiriki uchaguzi, naomba kuuliza wameshinda majimbo mangapi?

Vipi
Catherine Ruge
Moza Ally
Yeriko Nyerere
Suzana Kiwanga
Aisha Madoga
Kaiza
N.k

Je Kwa kupata kura za urais less than 1% watapata kitu chochote Cha ubunge wa vitu maalumu?

Niitieni CHAUMMA
October to remember in our country,continent and the world history!
 
Back
Top Bottom