G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 12,416
- 39,522
Tunduru Kaskazini na Nkasi ambayo ndiyo Eisitii wameshinda akiwemo Ado ShaibuDuh hii ni aibu ya mwaka yaani nchi nzima wanaambulia majimbo 2 tu.
Wataficha wapi nyuso zao
Tunduru Kaskazini na Nkasi ambayo ndiyo Eisitii wameshinda akiwemo Ado ShaibuDuh hii ni aibu ya mwaka yaani nchi nzima wanaambulia majimbo 2 tu.
Wataficha wapi nyuso zao
Ni kweli Silaa hajapita, ila sina hakika kama ni ACT au CHAUMMAWatu wanasema Jimbo la Jerry Slaa limechukuliwa na Chaumma, sijui kuna ukweli gani?
ACTWatu wanasema Jimbo la Jerry Slaa limechukuliwa na Chaumma, sijui kuna ukweli gani?
Watapewa post za uDC na uRC kwa shukrani ya kushiriki mauajiHao wajuba waliokimbilia CHAUMMA waende CCM au warudi CHADEMA kama akili zao haziko sawa! Waache chama cha mzee wa ubwabwa salama, sasa watafanyia wapi siasa na hicho chama hakina ruzuku wala matawi chini? kama vipi warudi kwenye shughuli zao za awali kabla ya kuingia siasani. Devota anaweza kurudi ITV au asubiri uteuzi wa u RC. Wengi watalambishwa vyeo kwa kushiriki uchaguzi, hii haina shida watapata post
Kura zilipigwa kabla na wala hawakuwa na mawakala, nchi nzima waliopiga kura hawafiki 5M japo ile tume fake ilitangaza 32M ila ni uongo mkubwa haswaMuziki wa uchaguzi ujao sijui utakuaje kama huu unaopita ulikuwa ni mtiti, vyama vingi vidogovidogo vilishiriki na kuangukia pua kwa kupata kura kidogo. Jimbo zima unakuta mgombea urais anapata kura moja au mbili! hivi si ni vituko?
Alirusha hadi ngumi mwambaa hakuaminii etiiWatu wanasema Jimbo la Jerry Slaa limechukuliwa na Chaumma, sijui kuna ukweli gani?
nadhani hawakutarajia kama hayo yangetokeaWatapewa post za uDC na uRC kwa shukrani ya kushiriki mauaji
Kama hawakutarajia umesikia wanalalamika?nadhani hawakutarajia kama hayo yangetokea
ACT wameshinda majimbo gani?Uongo CCM wameshinda majimbo 270 kati 272 majimbo mawili yamebebwa na ACT
🤣nadhani hawakutarajia kama hayo yangetokea
Upinzani ilikua chaumma peke yao?It is a dark history in our country kuwapoteza ndugu zetu, poleni saaaana Watanzania wenzangu.
Back to the topic G55 walijitoa Chadema na Kila siku walikuwa wanaitisha ma press conference kuiponda Kwa kugomea kushiriki uchaguzi.
Waliamua kushiriki uchaguzi, naomba kuuliza wameshinda majimbo mangapi?
Vipi
Catherine Ruge
Moza Ally
Yeriko Nyerere
Suzana Kiwanga
Aisha Madoga
Kaiza
N.k
Je Kwa kupata kura za urais less than 1% watapata kitu chochote Cha ubunge wa vitu maalumu?
Niitieni CHAUMMA
kwa sura ya uchaguzi ule hawawezi kulalamikaKama hawakutarajia umesikia wanalalamika?
Kwanini wasilalamike? mbona walipokuwa CHADEMA walikuwaga wanalalamika sn?kwa sura ya uchaguzi ule hawawezi kulalamika