amsr
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 259
- 303
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai
Go straight to the point bwana nilishakwambia hizi siasa zako sizitaki.....Hahaaaaa! Ushaanza mbwembwe zako sasa? You are missed

Ok cheusi nimekuwachaaaaaHaha em niwache cheusi wa mtu bana
Eti nini? Umesahau ile siku nilikuambia nini eeeeh?

Haha sisi ni wakazi wa kudumu wa kuleUwe unakuwepo na huku mkuu! Manake kuna yale majukwaa yenu na Nifah.. mnashinda mule mule..
Asante kwa kuujali moyo wangu twin

Kwani mkuu nimewahi kukukosea nini jamani?kwani mkuu the bold dini yako si inaruhusu kuoa wanne, hebu chukua wote hao yaani nifah, wiser1 na heaven sent ili kuondoa migogoro hii jamani. halafu kufanya hivyo ni sunna.
Sio kwa ushauri huu wa kuniangamiza.Hahahaa! Tuseme ninyi ni in-born!Haha sisi ni wakazi wa kudumu wa kule
Umenimiss?Sipendi mtu anayezunguka zunguka......lol
Umeoga msala wa cheupe maana kama nakuona ukiwa MOI na mguu wako uliovunjwa juu ya kitanda

Naona Massawe anataka The bold afanye sunna..!Kwani mkuu nimewahi kukukosea nini jamani?
![]()
![]()
Sio kwa ushauri huu wa kuniangamiza.
Hahaaa! Nachukua ushauri wa massawe...kitu sunna tuu!


Nakuja Pm asali yangu...! Kama vile umemwaga maji kwenye acid..Go straight to the point bwana nilishakwambia hizi siasa zako sizitaki.....![]()
![]()
Mkuu ww tupakulie tu hao wanajifanya walokole ndio wanaotongozana wao kwa wao kwayani. Poromosha vitu mkuu the bold along side miss NiffahTAHADHARI
Morning wakuu,
Leo jioni nitaweka hapa Episode 20 ya Simulizi yetu ya Vipepeo Weusi.. Ningependa nitoe angalizo kuhusu Episode hii..
Huko katika familia yetu ya WhatsApp Episode hii niliiweka maalumu kwa ajili ya Valentine (Valentine day special) hivyo basi Episode hii ina vipande vingi vya mambo ya "Kikubwa".!!
Kama hupendi kusoma vitu vya dizaini hiyo, nakushauri usisome Episode hii.. Subiri Episode 21.
Kutokana na content ya hii Episode itanipasa niiweke jioni..
Shukrani.!
Tafuta shemela uwe naye mkuu! Tena awe anakosemea yeye...Mkuu ww tupakulie tu hao wanajifanya walokole ndio wanaotongozana wao kwa wao kwayani. Poromosha vitu mkuu the bold along side miss Niffah


Nataman ningekua na Cute J akawa ananisomea daaah nasubir siku hiyoTafuta shemela uwe naye mkuu! Tena awe anakosemea yeye...![]()
Cute J ama Cute B?Nataman ningekua na Cute J akawa ananisomea daaah nasubir siku hiyo
Namaanisha Joo mkuu nataman angekua ananisomea huku namtomasa gently. Nampenda hadi najionea wivuCute J ama Cute B?
Ushaanza mambo ya kutomasa mapema hii...Namaanisha Joo mkuu nataman angekua ananisomea huku namtomasa gently. Nampenda hadi najionea wivu


