Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,749
- Thread starter
- #3,621
Sawa mkuu Sitaki ukudaSimulizi la ukweli kinoma, nitag na mimi mkuu.
Sawa mkuu Sitaki ukudaSimulizi la ukweli kinoma, nitag na mimi mkuu.
Inshallah.. Mwenyezi Mungu ataleta kheri.!Mkuu hii story inatisha naomba ikiisha Fanya Mipango iwe movie script naamini utapiga hela ya kufa mtu
Salute..Salute kwako mkuu The Bold. Hakika hii ni starehe
Sawa mkuu..Kaka me usinitag wala nini just niambie tu inaendelea lini nikabe selo
I mean ntaendelea kufuatilia hivihivi kinyemest otherwise![]()
Pamoja sana mkuu!Hii kitu ni hatar inanikumbusha utalaamu wa scorfield kwenye prison break, big up sana the bold
Ulitaka amalizie ili iweje? Unanitafuta nini wewe mwanaume?![]()
![]()
![]()
Mbona hujamalizia?? Hizo 'deshi deshi..'

SitakiCheupe wangu![]()
![]()

Mkuu ongeza tag kwa "Domhome"Sawa mkuu..
Ni Jumatatu, Jumatano na Ijumaa..
kwanza nilianza Nyangao then Lindi mjini Pande za Sabasaba then karibu na uwanja wa ilulu........Nilimuona Mtu anafanana na wewe Mkuu.....Je ni wewe au watu ni wawili wawili.....?Much respect mkuu MJINI CHAI
Lindi uko pande zipi??
Hahahah sio mimi..kwanza nilianza Nyangao then Lindi mjini Pande za Sabasaba then karibu na uwanja wa ilulu........Nilimuona Mtu anafanana na wewe Mkuu.....Je ni wewe au watu ni wawili wawili.....?
Ha ha haaaaaaaaaaaa.........hayaaaaaaaa mwe...........Hahahah sio mimi..
Sema nishawahi kupita pita mitaa hiyo.. Zaidi ya 10 years ago!
Namaanisha nilikuja mimi kwa safari zangu binafsi 10 years ago..Ha ha haaaaaaaaaaaa.........hayaaaaaaaa mwe...........

Its done..Mkuu ongeza tag kwa "Domhome"