Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Karohoo kanauma eeh! Tufanye natania mkuuMbona unajisifu sana?![]()


Karohoo kanauma eeh! Tufanye natania mkuuMbona unajisifu sana?![]()


Mkuu mbna unajua sana ratiba yangu? unanitisha ujueZikianza kujaa humu utakuwa unaonekana usiku tuu!

Alisema inasimama wiki moja, so inaendeleaNdo kusema series imekua cancelled/ postponed/ delayed au??
Ongea na Nifah jamaa kashikwa masikio hafurukuti!Mungu ni Mungu...........Eti Leo hii ile Story ya Vipepeo imekua ya kusoma walio nacho......Sisi pangu Pakavu tia Mchuzi Tusubiri mpaka wepende wao..............ni shida sana, nimejaribu bila Mafanikio kujieleza wanifanyie Exemption wenyewe wamekaa kimywa ingawa wote humu JF wanajua kuwa mimi ni apeche lolo.......lakini wapi bhanaaa.....ndiyo kwanza utawasikia hii ilikuwa ya kunywea Bia sijui nini.....?? The Bold weka basi hata mara mbili wa wiki nasi tusome au imekuwa Mtaji sasa nijue moja ili niuambie Moyo, MOYO WANGU TULIA JF KUNA VITU VYA WATU.......
HILI=NDIYO...HILI=SIYO, LAKINI WAKATI UKIFIKA UKWELI UTAJULIKANA TU.Mungu ni Mungu...........Eti Leo hii ile Story ya Vipepeo imekua ya kusoma walio nacho......Sisi pangu Pakavu tia Mchuzi Tusubiri mpaka wepende wao..............ni shida sana, nimejaribu bila Mafanikio kujieleza wanifanyie Exemption wenyewe wamekaa kimywa ingawa wote humu JF wanajua kuwa mimi ni apeche lolo.......lakini wapi bhanaaa.....ndiyo kwanza utawasikia hii ilikuwa ya kunywea Bia sijui nini.....?? The Bold weka basi hata mara mbili wa wiki nasi tusome au imekuwa Mtaji sasa nijue moja ili niuambie Moyo, MOYO WANGU TULIA JF KUNA VITU VYA WATU.......
Dah.! We jamaa bhana unapenda kulalamika sana.. Sijui unataka nifanyeje ndio ufurahi!!Mungu ni Mungu...........Eti Leo hii ile Story ya Vipepeo imekua ya kusoma walio nacho......Sisi pangu Pakavu tia Mchuzi Tusubiri mpaka wepende wao..............ni shida sana, nimejaribu bila Mafanikio kujieleza wanifanyie Exemption wenyewe wamekaa kimywa ingawa wote humu JF wanajua kuwa mimi ni apeche lolo.......lakini wapi bhanaaa.....ndiyo kwanza utawasikia hii ilikuwa ya kunywea Bia sijui nini.....?? The Bold weka basi hata mara mbili wa wiki nasi tusome au imekuwa Mtaji sasa nijue moja ili niuambie Moyo, MOYO WANGU TULIA JF KUNA VITU VYA WATU.......
Yani analalamika utadhani yeye ndio mwenye shida dunia nzima.Dah.! We jamaa bhana unapenda kulalamika sana.. Sijui unataka nifanyeje ndio ufurahi!!
Nimekutumia Ujumbe PM nenda kasome kabla hujajibu hapa
,na ustaarab ni kukaa kimya.Bahati nzuri signature yake inamjibu maswali yake yote, nimemqoute kama ni mwelewa ameshanielewa,Yani analalamika utadhani yeye ndio mwenye shida dunia nzima.
Kila mtu angeamua kulialia ingekuwaje?
Kila mtu ana mashida zake bhana,na ustaarab ni kukaa kimya.
Nimeusoma Mkuu......Dah.! We jamaa bhana unapenda kulalamika sana.. Sijui unataka nifanyeje ndio ufurahi!!
Nimekutumia Ujumbe PM nenda kasome kabla hujajibu hapa
Wewe Nifah, siye wa kuninanga hivyo mimi.........unajua kila Mtu akilia hushika Kichwa chake na si cha Mwingine.....usinishangae mimi nakutegemea wewe alafu unanisemanga kwa johnsonmgaya.......Aya bhana......lakini Sukari wako The Bold kanielewa........Yani analalamika utadhani yeye ndio mwenye shida dunia nzima.
Kila mtu angeamua kulialia ingekuwaje?
Kila mtu ana mashida zake bhana,na ustaarab ni kukaa kimya.
Na hii yako vipi.......? "Lies are necessary when the truth is very hard to believe."HILI=NDIYO...HILI=SIYO, LAKINI WAKATI UKIFIKA UKWELI UTAJULIKANA TU.
nime quote sign yako mkuu
Ndugu yangu weeeee Nifah mwenyewe ameniambia eti mimi nalialia utafikiri Dunia mzima mimi ndiye mwenye shida pekee........Lakini Mungu si Athumani Mkuu The Bold amefanya mambo.......Ongea na Nifah jamaa kashikwa masikio hafurukuti!
Hii yangu umeielewa pia? zote zina majibu katika kilio chakoNimeusoma Mkuu......
Wewe Nifah, siye wa kuninanga hivyo mimi.........unajua kila Mtu akilia hushika Kichwa chake na si cha Mwingine.....usinishangae mimi nakutegemea wewe alafu unanisemanga kwa johnsonmgaya.......Aya bhana......lakini Sukari wako The Bold kanielewa........
Na hii yako vipi.......? "Lies are necessary when the truth is very hard to believe."