Ryan The King
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 2,789
- 2,701
Safi Sana Mkuu The bold, nakufuatilia kila hatua.
Keep it up
Keep it up
Hawezi kujua unatumia jina gani, wewe unatuma hela anakuunga tu very simple.Mkuu tukienda what's app sasa si ndo utapata namba zetu isije ukawa umetumwa na the board lol wale ndugu TCR.. Sio watu wazuri
Shukrani mkuu..The Bold Asante saana Mkuu..
Heshima saana
iL Buono
Lol.! Nasubiria kwa hamu mkuu.. 0718 096 811Asante the bold, m ntakuwa nakutumia yangu ila kwenye group hapana.... Ninasabab za kiusalama
Hapo tazara pazuri sana panaonekana..kwa leo The Bold nina Maneno mawili tu ya kuwa siyo Bure utakuwa ni mmoja katika zile club........(Usiku au mchana au Asubuhi).......Vinginevyo Unaakisi vilivyo.......!!!!
Leo nakesha kwani nimepata Kibarua cha ZEGE hapa Tazara.......
Ndio mwendo! Tutafika..moja moja
Nimecheka sana..........Mkuu.........Hapo tazara pazuri sana panaonekana..
Shukrani..Nice
Tuambizane mkuu! Usifaidi peke yako..Nimecheka sana..........Mkuu.........