Malafyale
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 13,813
- 11,126
Hawezi kukata rufaa
""Mwanasheria wa NCCR Mageuzi, Dk Sengondo Mvungi alisema Kafulila hawezi kukata rufaa sehemu yoyote dhidi ya uamuzi wa kumfukuza uanachama kwa mujibu wa kanuni ya 7 (2) ya chama hicho.
Kanuni hiyo ya 7(2) ya nidhamu na usuluhishi sehemu ya (d) inaeleza kuwa, baada ya uamuzi wa mwisho kufanywa, kikao husika kitatoa maelekezo kwa kikao au vikao vya chini vyenye mamlaka ya kuchukua hatua au kutoa adhabu kwa kiongozi au mwanachama husika. Kipengele (f) kinasema uamuzi utakaofanywa kwa mujibu wa kupengele (d) utakuwa wa mwisho ila tu pale unapomhusu Mwenyekiti Taifa na Makamu Mwenyekiti (Zanzibar) ambao uamuzi wa mwisho kuwahusu wao ni Mkutano Mkuu.
Kanuni hiyo hiyo sehemu ya 7(1) inaeleza, ''Mlalamikiwa au mhusika atakuwa na haki ya kukata rufaa kwenda kamati ya nidhamu na usuluhishi iliyo katika kikao cha ngazi ya juu zaidi ya kikao husika, na kamati hiyo itakuwa na uwezo sawa na ule wa kamati ya kwanza, ila tu haitapokea ushahidi mara ya pili''.
MY NOTES:Kwa katiba za ajabu kama hizi za NCCR;Je wana mageuzi tuna haki ya kuipa pressure serikali kushirikiana na wadau kuandika katiba mpya?Je Nape akianza kusema kabla ya kuiambia serikali ilete katiba mpya ingelikuwa vyema mngezisafisha zenu zilizooza!tutamjibu nn?
Kafulila alichaguliwa kwa kura maelfu kule Kigoma-Kusini lkn likely atapoteza Ubunge wake kwa kunyang'wanywa kadi na watu wasio zidi hata 100 waliokutana wakiwa na agenda ya kumtimua wakiongiozwa na Mwenyekiti wao Mbatia ambaye katiba imemfanya awe na nguvu kama ya Mungu-mtu!
Katiba ya NCCR kuhusu kufukuzana ni madudu matupu;Je kuna yeyote hapa anayo katiba ya vyama vikuu vya upinzani vya CHADEMA na CUF nione tofauti zao kwenye vipengele vya kufukuzana?
""Mwanasheria wa NCCR Mageuzi, Dk Sengondo Mvungi alisema Kafulila hawezi kukata rufaa sehemu yoyote dhidi ya uamuzi wa kumfukuza uanachama kwa mujibu wa kanuni ya 7 (2) ya chama hicho.
Kanuni hiyo ya 7(2) ya nidhamu na usuluhishi sehemu ya (d) inaeleza kuwa, baada ya uamuzi wa mwisho kufanywa, kikao husika kitatoa maelekezo kwa kikao au vikao vya chini vyenye mamlaka ya kuchukua hatua au kutoa adhabu kwa kiongozi au mwanachama husika. Kipengele (f) kinasema uamuzi utakaofanywa kwa mujibu wa kupengele (d) utakuwa wa mwisho ila tu pale unapomhusu Mwenyekiti Taifa na Makamu Mwenyekiti (Zanzibar) ambao uamuzi wa mwisho kuwahusu wao ni Mkutano Mkuu.
Kanuni hiyo hiyo sehemu ya 7(1) inaeleza, ''Mlalamikiwa au mhusika atakuwa na haki ya kukata rufaa kwenda kamati ya nidhamu na usuluhishi iliyo katika kikao cha ngazi ya juu zaidi ya kikao husika, na kamati hiyo itakuwa na uwezo sawa na ule wa kamati ya kwanza, ila tu haitapokea ushahidi mara ya pili''.
MY NOTES:Kwa katiba za ajabu kama hizi za NCCR;Je wana mageuzi tuna haki ya kuipa pressure serikali kushirikiana na wadau kuandika katiba mpya?Je Nape akianza kusema kabla ya kuiambia serikali ilete katiba mpya ingelikuwa vyema mngezisafisha zenu zilizooza!tutamjibu nn?
Kafulila alichaguliwa kwa kura maelfu kule Kigoma-Kusini lkn likely atapoteza Ubunge wake kwa kunyang'wanywa kadi na watu wasio zidi hata 100 waliokutana wakiwa na agenda ya kumtimua wakiongiozwa na Mwenyekiti wao Mbatia ambaye katiba imemfanya awe na nguvu kama ya Mungu-mtu!
Katiba ya NCCR kuhusu kufukuzana ni madudu matupu;Je kuna yeyote hapa anayo katiba ya vyama vikuu vya upinzani vya CHADEMA na CUF nione tofauti zao kwenye vipengele vya kufukuzana?