Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,711
- 4,644
Wakuu nawasilimieni nyote,
Moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu,
Nimejaribu kabla ya ku-post uzi huu kuona kama kuna uzi ulishawisilishwa humu wa namna/njia/dawa/mafuta maalum yasiyo na madhara ya kutumia kumpaka shemeji/wifi yenu ili kuzuia vipele na weusi aneo letu (lake) la ikulu baada ya kufanya usafi wa eneo hilo kwa kupunguza na kuondoa nywele za eneo la papuchi, lengo ni kuboresha mazingira na afya ya eneo hilo jema.
Natangaliza shukrani.
Moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu,
Nimejaribu kabla ya ku-post uzi huu kuona kama kuna uzi ulishawisilishwa humu wa namna/njia/dawa/mafuta maalum yasiyo na madhara ya kutumia kumpaka shemeji/wifi yenu ili kuzuia vipele na weusi aneo letu (lake) la ikulu baada ya kufanya usafi wa eneo hilo kwa kupunguza na kuondoa nywele za eneo la papuchi, lengo ni kuboresha mazingira na afya ya eneo hilo jema.
Natangaliza shukrani.