Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
wadau litazameni na hili,wakati serikali ya jk ikishindwa kununua city scan moja kwa ts 350 mil imetenga bil 3 kwa ajili ya maandazi wizara ya afya.
Bei ya checkup ya hiyo mashine pale muhimbili ni 170000.
Sasa hivi nchi haina mashine hata moja inayofanya kazi.
Hii ni kwa mujibu wa utafiti wa sikika.
Bei ya checkup ya hiyo mashine pale muhimbili ni 170000.
Sasa hivi nchi haina mashine hata moja inayofanya kazi.
Hii ni kwa mujibu wa utafiti wa sikika.