IamPrince George
JF-Expert Member
- Nov 22, 2014
- 412
- 168
*VIPAUMBELE VYA LOWASSA VYAMPENDEZA JAKAYA KIKWETE,
*MAFUGULI AMHOFIA LOWASSA.
Tarehe 15. 08. 2015 majira ya saa 12:40 kulekea saa saba mchana katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam kulikuwa na Sherehe ya kumuaga Rais Jakaya Kikwete sherehe iliyoandaliwa na Wizara ya Ujenzi chini ya Mh. Magufuli kwa mwamvuli wa Makandarasi.
Mh. Magufuli alisikika akisema kuwa Mheshimiwa Rais nakushukuru kwa kusaidia bodaboda kuwepo nchini na kusaidia vijana kujiajiri na ninashangaa hao wanaosema watawapa ajira na kuwasaidia Bodaboda na kusahau kuwa zilitoka na zililetwa na nani Hapa nchini. (Hapa alikuwa akimuongelea Lowassa kwa kuamini kuwa ndiyr tishio kwake).
Mh. Magufuli alisema pia kuwa, Mh Rais Sekta ya Ujenzi ndio sekta kubwa na ya kwanza inayosaidia uchumi wa taifa, lakini Mh. Jk alipozungumza alisema kuwa Sekta ya Elimu ndio sekta kubwa sana na ambayo tunatakiwa kuiangalia na kuipa kipaumbele ikifuatiwa na Sekta ya Ujenzi.
Ni wazi kuwa Lowassa anajua kuwa Elimu ndio msingi wa maendeleo katika taifa lolote duniani na kimsingi ndio kipaumbele chake na Jayaka Kikwete amelisema hilo kwa kuamini kuwa Lowassa yuko sahihi.
Sasa Mh. Magufuli ambaye ndie mgombea Urais nashindwa kuamini kuwa hajui kuwa elimu ndio msingi au ni kweli kuwa Urais kwake haikuwa plan yake, na je, hawakujipanga mapema na Mwenyekiti wake ili wasipishane kauli au ilikuwaje, Maana Magufuli anasema Ujenzi ndio Sekta Muhimu lakini JK anasema Elimu ndio sekta muhimu.
Wananchi hii ndio CCM, Magufuli anasema akiwa Rais Walimu wote watanunuliwa Laptop lakini Nape anakanusha na kusema kuwa Magufuli hakusema hadharani, na maana ya kwamba hakusema hadharani ni kwamba alisema, sasa kama wao kwa wao wanageukana kauli, je, hawatawageuka wananchi?
Lakini katika hali isiyokuwa ya kawaida JK alitumia nafasi hiyo kufanya kampeni na kuonesha wasiwasi wake juu ya Lowassa kwa kuonekana kumzungumzia Lowassa kwa kusema, (Ndugu Nagufuli usihofu hao wengine ni moto wa mabua, hauwaku ukadumu), hiyo ni ishara ya kwamba LOWASSA amekuwa vichwani mwao (CCM) na kuwaumiza kichwa mpaka kufikia kumzungumzia kwa mabaya, hiyo ni dalili mbaya sana kwa CCM na ni wazi kuwa LOWASSA anawatisha sana hususani sera zake ambazo zimewagusa sana watanzania na kumwamini.
KAZI MNAYO CCM.
*MAFUGULI AMHOFIA LOWASSA.
Tarehe 15. 08. 2015 majira ya saa 12:40 kulekea saa saba mchana katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam kulikuwa na Sherehe ya kumuaga Rais Jakaya Kikwete sherehe iliyoandaliwa na Wizara ya Ujenzi chini ya Mh. Magufuli kwa mwamvuli wa Makandarasi.
Mh. Magufuli alisikika akisema kuwa Mheshimiwa Rais nakushukuru kwa kusaidia bodaboda kuwepo nchini na kusaidia vijana kujiajiri na ninashangaa hao wanaosema watawapa ajira na kuwasaidia Bodaboda na kusahau kuwa zilitoka na zililetwa na nani Hapa nchini. (Hapa alikuwa akimuongelea Lowassa kwa kuamini kuwa ndiyr tishio kwake).
Mh. Magufuli alisema pia kuwa, Mh Rais Sekta ya Ujenzi ndio sekta kubwa na ya kwanza inayosaidia uchumi wa taifa, lakini Mh. Jk alipozungumza alisema kuwa Sekta ya Elimu ndio sekta kubwa sana na ambayo tunatakiwa kuiangalia na kuipa kipaumbele ikifuatiwa na Sekta ya Ujenzi.
Ni wazi kuwa Lowassa anajua kuwa Elimu ndio msingi wa maendeleo katika taifa lolote duniani na kimsingi ndio kipaumbele chake na Jayaka Kikwete amelisema hilo kwa kuamini kuwa Lowassa yuko sahihi.
Sasa Mh. Magufuli ambaye ndie mgombea Urais nashindwa kuamini kuwa hajui kuwa elimu ndio msingi au ni kweli kuwa Urais kwake haikuwa plan yake, na je, hawakujipanga mapema na Mwenyekiti wake ili wasipishane kauli au ilikuwaje, Maana Magufuli anasema Ujenzi ndio Sekta Muhimu lakini JK anasema Elimu ndio sekta muhimu.
Wananchi hii ndio CCM, Magufuli anasema akiwa Rais Walimu wote watanunuliwa Laptop lakini Nape anakanusha na kusema kuwa Magufuli hakusema hadharani, na maana ya kwamba hakusema hadharani ni kwamba alisema, sasa kama wao kwa wao wanageukana kauli, je, hawatawageuka wananchi?
Lakini katika hali isiyokuwa ya kawaida JK alitumia nafasi hiyo kufanya kampeni na kuonesha wasiwasi wake juu ya Lowassa kwa kuonekana kumzungumzia Lowassa kwa kusema, (Ndugu Nagufuli usihofu hao wengine ni moto wa mabua, hauwaku ukadumu), hiyo ni ishara ya kwamba LOWASSA amekuwa vichwani mwao (CCM) na kuwaumiza kichwa mpaka kufikia kumzungumzia kwa mabaya, hiyo ni dalili mbaya sana kwa CCM na ni wazi kuwa LOWASSA anawatisha sana hususani sera zake ambazo zimewagusa sana watanzania na kumwamini.
KAZI MNAYO CCM.