Vipande vya kitambaa cha Kaaba (Kiswa) vilinunuliwa na Jeffrey Epstein kama zulia (carpets) kwa matumizi ya nyumbani.

Vipande vya kitambaa cha Kaaba (Kiswa) vilinunuliwa na Jeffrey Epstein kama zulia (carpets) kwa matumizi ya nyumbani.

Kinyungu

Platinum Member
Joined
Apr 6, 2008
Posts
21,581
Reaction score
42,891
Kiswa ya Kaaba (kitambaa maalum kinafunika Al Kaaba) ilisafirishwa kutoka Saudi Arabia kwenda kwa Jeffrey Epstein, huku umuhimu wake wa kidini ukielezwa wazi katika barua pepe.

Nani walihusika?
Aziza Al-Ahmadi (mwanamke Msauidi anayeishi UAE) alituma barua pepe tarehe 22 Machi 2017 akieleza kuhusu kitambaa cha Kaaba, akisema kuwa kiliguswa na angalau Waislamu milioni 10 wakati wa tawafu, na kinabeba dua, machozi na matumaini yao

Jeffrey Epstein alikuwa mpokeaji wa mwisho; mzigo ulipelekwa nyumbani kwake St. Thomas kupitia kampuni ya LSJE LLC

Daphne Wallace, mshirika wa Epstein, aliratibu upokeaji na usafirishaji

Abdullah Al-Maari alisimamia uratibu upande wa Saudi Arabia
Stauffer alisimamia masuala ya usafirishaji, forodha, na usafiri

Je, Saudi Arabia itasema nini kuhusu jambo hili?

20260202_151742.jpg

20260202_151750.jpg
20260202_151756.jpg

adriz ukienda Makkah na mimi niletee Kiswa nitumie kama carpet home kwangu
Jagina
Mcmillan de Maghayo
MK254
Al Mukheef
 
Noma sana kwa kweli. Hadi wabakaji na walawiti wanajiapatia Kiswa kiulaini kabisa. Waweke basi Amazon tuwe tunanunua tutumie kama zulia home🤣🤣
Imagine ukute jamaa anafuga mbwa wanakojolea io zulia(shiting on people's duas). Definitely jamaa anajua mengi sana kuhusu hao jamaa hawezi kuwadhihaki kirahisi ivyo. ...
 
Kiswa ya Kaaba (kitambaa maalum kinafunika Al Kaaba) ilisafirishwa kutoka Saudi Arabia kwenda kwa Jeffrey Epstein, huku umuhimu wake wa kidini ukielezwa wazi katika barua pepe.

Nani walihusika?
Aziza Al-Ahmadi (mwanamke Msauidi anayeishi UAE) alituma barua pepe tarehe 22 Machi 2017 akieleza kuhusu kitambaa cha Kaaba, akisema kuwa kiliguswa na angalau Waislamu milioni 10 wakati wa tawafu, na kinabeba dua, machozi na matumaini yao

Jeffrey Epstein alikuwa mpokeaji wa mwisho; mzigo ulipelekwa nyumbani kwake St. Thomas kupitia kampuni ya LSJE LLC

Daphne Wallace, mshirika wa Epstein, aliratibu upokeaji na usafirishaji

Abdullah Al-Maari alisimamia uratibu upande wa Saudi Arabia
Stauffer alisimamia masuala ya usafirishaji, forodha, na usafiri

Je, Saudi Arabia itasema nini kuhusu jambo hili?

View attachment 3537945
View attachment 3537946View attachment 3537947
adriz ukienda Makkah na mimi niletee Kiswa nitumie kama carpet home kwangu
Jagina
Mcmillan de Maghayo
MK254
Al Mukheef
Haujaeleza vzuri, hicho kitambaa kiliuzwa kihalali kwa mnada au kiliibwa na kusafirishwa kwenda kuuzwa kwa Epstein kimagendo?
 
Ukisoma hiyo email para ya pili utaona kabisa Uislam ni usanii hadi waarab wenyewe wanawashangaa sana Waislam wanaoenda Makkah

Mwanamke Msaudia Aziza alAhmadi anasema hivi kwenye email aliyomwandikia Epstein:

"They walk around the Kaaba seven rounds then every one tries as much as they can to touch it and they kept their prayers, wishes, tears and hopes on this piece. Hoping after that all their prayers to be accepted."

Maneno aliyotumia ni dhihaka kabisa kwa wale wanaoitikadi Usilam.

Dua za waislam zinakubaliwa kwa kugusa tambara jeusi la kiswa🤣🤣

Email yote kwa kiswahili inasoma hivi:

Kutoka: Aziza Alahmadi
Kwenda: jeevacation@gmail.com
Kichwa cha Habari: Imetumwa upya: Shehena Mpya
Tarehe: Jumatano, 22 Machi 2017 22:15:56 +0000
Viambatisho: shipment_details.pdf


Hiki hapa kiambatisho.

Kwa hakika, kipande/kitambaa cheusi kimeguswa na angalau Waislamu milioni 10 kutoka madhehebu mbalimbali, Sunni, Shia na wengine.

Wanazunguka Kaaba mara saba kisha kila mmoja hujitahidi kadri awezavyo kukigusa, na huweka juu ya kipande hiki maombi yao, matamanio yao, machozi yao na matumaini yao, wakitumaini kwamba baada ya hapo maombi yao yote yatakubaliwa.



Kwa heshima,
Aziza

Imetumwa kutoka kwenye iPhone yangu

hamis77
 
Haujaeleza vzuri, hicho kitambaa kiliuzwa kihalali kwa mnada au kiliibwa na kusafirishwa kwenda kuuzwa kwa Epstein kimagendo?
Ilikuwa biashara halali. Kiswa haitoki Saudia bila mamlaka za Saudia kujua. Inaonekana waliridhia Epistein auziwe kipende kidogo.
Bi Aziza ambaye yeye mwenyewe ni Msaudia anayeishi UAE ana connection na mamlaka za Saudia ndiyo maana aliweza kufanikisha hiyo deal

Hata hivyo inashangaza jinsi anavyodhihaki kitambaa na dua wa Waislam wanaoenda Makkah
 
Sema kama hizi mambo zote za huyu bwana zina ukweli basi niseme hii dunia wapo wasenge wachache wanaprogram maisha yetu jinsi yawe.Huyu mpumbavu aliweza vipi kuwashika watu wote akili hivyo?
 
Cha ajabu nini!?..yale ni mapazia,yametumika,yametolewa,bwana Epstein kayataka labda akalogee,wahuni wametumia fursa
Epstein aliwadharau sana Kiswa kaenda kufanya zulia la bafuni kwake🤣🤣🤣

Unasemaje maelezo ya Bi Aziza kuhusi dua zenu na maombi mnayopeleka Makkah. Kwamba yanafungamanishwa na hiyo kiswa
 
Ilikuwa biashara halali. Kiswa haitoki Saudia bila mamlaka za Saudia kujua. Inaonekana waliridhia Epistein auziwe kipende kidogo.
Bi Aziza ambaye yeye mwenyewe ni Msaudia anayeishi UAE ana connection na mamlaka za Saudia ndiyo maana aliweza kufanikisha hiyo deal

Hata hivyo inashangaza jinsi anavyodhihaki kitambaa na dua wa Waislam wanaoenda Makkah
Au kwa vile Epstein alikuwa ni fisi maji?
 
Back
Top Bottom