Vipande hatari vya barabara nchini

Vipande hatari vya barabara nchini

believer

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2012
Posts
639
Reaction score
216
Katika kipindi hiki cha mvua ni vema tukajulishana maeneo ambayo barabara huteleza.

Hii itasaidia madereva wageni katika maeneo mbalimbali nchini,
Mfano wangu au tahadhari yangu kwa wadau ni kipande cha kuanzia Dumila hadi Gairo madereva wawe makini barabara inateleza balaa.

Wadau tuabalishane maeneo mengine!
 
Hakuna barabara ambayo SI HATARI wakati wowote aidha kuwe na mvua au jua.

Cha muhimu, dereva na watumiaji wengine wa barabara wanapaswa kufahamu kuwa, mvua zinaponyesha, barabara huteleza na hivyo unapaswa kuchukua tahadhari zaidi ya mwendo na tabia zingine za uendeshaji.
 
Barabara ya Njombe -Songea ni hatari sana ,kwanza nyembamba,pili iko hovyo haijarekebishwa zaidi ya kuwekwa vilaka toka mkoloni.Kuna milima na makona ya ajabu hasa Lukumbulu,ni noma.Serikali iko kimya kama hawioni.Barabara nyini zinatinduliwa na kujengwa upwa mfano kuanzia madaraja mawili Ruaha na sasa wako mfinga na bado wanaendelea,kipande hiki kimetinduliwa ile lami chakavu iliyopo na kuweka lami nyingine mpya kiukweli barabara imependeze si mchezo.

Songea imetelekezwa kama hawaishi watu vile pamoja na unyeti wa mkoa kwa uzalishaji wa mazao ya chakula nk.
 
Barabara ya Njombe -Songea ni hatari sana ,kwanza nyembamba,pili iko hovyo haijarekebishwa zaidi ya kuwekwa vilaka toka mkoloni.Kuna milima na makona ya ajabu hasa Lukumbulu,ni noma.Serikali iko kimya kama hawioni.Barabara nyini zinatinduliwa na kujengwa upwa mfano kuanzia madaraja mawili Ruaha na sasa wako mfinga na bado wanaendelea,kipande hiki kimetinduliwa ile lami chakavu iliyopo na kuweka lami nyingine mpya kiukweli barabara imependeze si mchezo.

Songea imetelekezwa kama hawaishi watu vile pamoja na unyeti wa mkoa kwa uzalishaji wa mazao ya chakula nk.
huku kwetu ni kichwa cha wendaazimu kila mtu anajifundisha kunyoa.vilaka barabara nzima
 
Mlandizi- Chalinze ni noma kama unaogelea baharini
 
Ruvu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
nipo njian kwenda tanga. hizi corner za muheza balaa. duh. afu unatembelea yutong spidi kali. njia nzima nikawa namkumbuka shalomillionaire.
 
Barabara ya Njombe -Songea ni hatari sana ,kwanza nyembamba,pili iko hovyo haijarekebishwa zaidi ya kuwekwa vilaka toka mkoloni.Kuna milima na makona ya ajabu hasa Lukumbulu,ni noma.Serikali iko kimya kama hawioni.Barabara nyini zinatinduliwa na kujengwa upwa mfano kuanzia madaraja mawili Ruaha na sasa wako mfinga na bado wanaendelea,kipande hiki kimetinduliwa ile lami chakavu iliyopo na kuweka lami nyingine mpya kiukweli barabara imependeze si mchezo.

Songea imetelekezwa kama hawaishi watu vile pamoja na unyeti wa mkoa kwa uzalishaji wa mazao ya chakula nk.

Huko ndio kwa akina Komba, Mapumda, Tembo, Ngonyani etc.
 
nipo njian kwenda tanga. hizi corner za muheza balaa. duh. afu unatembelea yutong spidi kali. njia nzima nikawa namkumbuka shalomillionaire.

Ungekutana na za Iyovi - Mikumi na hizo gari - ndege za chini ungesemaje?
 
Barabara ya Nyakanazi - Kidahwe, hii haina lami na mvua zinazonyesha zinasababisha tope sana. Maeneo hatarishi zaidi ni Kifura, Makere, Kanazi, Mutabira, Nyakitondo, Nyansha (Kibagwe na Mugandazi), Nyumbigwa, Nkundusi, Muzye, Kasangezi, Rusesa, Kwaga na Kidahwe mwanzoni mwanzoni kabla ya lami ya Zitto.

Na barabara ya Kasulu - Uvinza ni Rungwe, Basanza karibia njia yote mpaka kufika uvinza. Duh!

Miaka 50 ya uhuru! Lami hakuna mkoa mzima, umeme hakuna mkoa mzima, maji tabu tupu ingawaje kuna vyanzo vya kutosha.
 
Singida-Shinyanga kuna sehemu ina lami nyekundu na mashimo ya kustukiza!
 
Barabara ya Dodoma-Arusha
Dodoma - Iringa hazifai.na kwa wale tunaokwenda kutibiwa macho kwa akina CHIGWIYEMISI (MVUMI)barabara ni mbovu vibaya,HAZIFAII!
 
Back
Top Bottom