Mada hii haina mashiko...ina mtazamo-shoto zaidi kuliko kujenga.
Bible inasema kwamba Viongozi wa Serikali na waheshimiwe, maana wasingepata madaraka hayo kama yasingelitoka juu!
Kama kanisa linapata taarifa kwamba VIP fulani anakuja kusali kanisani kwao, ni lazima wajue atakaa wapi, si kitu cha ajabu aisee!
Wewe mwenyewe ukipata habari za ujio wa mtu muhimu kwako lazima kuna maandalizi unafanya bana...usipime watu hapa!