Billgates wa bongo
Member
- Nov 6, 2012
- 96
- 27
Habari!
Kwa heshima kubwa ningependa kupata mawasiliano ( contact) za viongozi wote wa vituo vya boda boda nchi nzima (Tanzania). Iwe ni kiongozi wa kituo cha boda,vikoba, upatu na hata saccos we nipigie, hii ni kwajili ya kuandaa mipango ya maendeleo yetu.
Ukijijua wewe ni kiongozi naomba wasiliana kwa namba hii 0754370202.
Pia ningependa kuwasiliana na
kiongozi mkuu wa bodaboda wote Tanzania au kiongozi wa kanda, mikoa,wilaya, tarafa, kata,mtaa.
Kama pia unamfahamu naomba mjulishe kuhusu hili.
Kuna mambo mazuri sana ya kuongea na kuweka mikakati ya kubotesha ajira kwa vijana.
Kwa heshima kubwa ningependa kupata mawasiliano ( contact) za viongozi wote wa vituo vya boda boda nchi nzima (Tanzania). Iwe ni kiongozi wa kituo cha boda,vikoba, upatu na hata saccos we nipigie, hii ni kwajili ya kuandaa mipango ya maendeleo yetu.
Ukijijua wewe ni kiongozi naomba wasiliana kwa namba hii 0754370202.
Pia ningependa kuwasiliana na
kiongozi mkuu wa bodaboda wote Tanzania au kiongozi wa kanda, mikoa,wilaya, tarafa, kata,mtaa.
Kama pia unamfahamu naomba mjulishe kuhusu hili.
Kuna mambo mazuri sana ya kuongea na kuweka mikakati ya kubotesha ajira kwa vijana.