- Thread starter
- #21
Pole sana Mkuu.Watuhurumie jamani maana maisha yamekuwa magumu sanaaa.
Leo hii mimi nalala njaa hapa kwa sababu ya hali kuwa ngumu.
Eeee Mungu tusaidie.
Ipo siku mambo yatakuwa poa.
Tuvumilie tu.
Pole sana Mkuu.Watuhurumie jamani maana maisha yamekuwa magumu sanaaa.
Leo hii mimi nalala njaa hapa kwa sababu ya hali kuwa ngumu.
Eeee Mungu tusaidie.