Chakunyuma
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 810
- 152
- Thread starter
- #21
Unyonge wa moyo , kutojiamini , kasumba , kukosa ufahamu.
Kwa mtu anaejiamini na kujitambua hasumbuliwi na vyeo / title za kidunia.
Naona upo sahihi lakini maswali ya kujiuliza 1.kujiona mnyonge zidi ya nani? 2.kasumba yaani hata baada ya miaka 50 ya uhuru bado tunakasumba? 3. Je Kutojiamini kutaweza kumletea mwananchi maendeleo? Ningeshauri viongozi kuwa wakweli na wawazi ingetusaidia sana kama taifa. Hivi vititle ambavyo ukifuatilia unakuta havina tija yoyote kwa taifa ni aibu tupu.