Viongozi wengi wakitolewa madarakani hulalamika wanaonewa

Viongozi wengi wakitolewa madarakani hulalamika wanaonewa

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,138
Reaction score
33,525
Wakiwa madarakani wanakuwa na viburi, kejeli, ubabe na dharau kwa wananchi wao.

Ikifika muda wakaondolewa wanaanza kuona kama wanaonewa kwa sheria walizoziweka wao au mambo waliyopelekea kufikia hapo.

Tumeona kwa Marehemu Mugabe, Ali Bongo, Saddam na n.k
 
Wakiwa madarakani wanakuwa na viburi,kejeli,ubabe na dharau kwa wananchi wao.

Ikifika mda wakaondolewa wanaanza kuona kama wanaonewa kwa sheria walizoziweka wao au mambo waliyopelekea kufikia hapo.

Tumeona kwa Marehemu Mugabe,ali bongo,saddam na n.k
IMG-20251219-WA0013.jpg
 
Ni tabu kuwahurumia waliotolewa kwenye kundi la watawala ilhali waliutetea mfumo kwa nguvu zao zote. Nashangaa sasa kuona kauli mbiu imebadilika kutoka CCM must go imekuwa Samia must go.
 
Back
Top Bottom