Diwani mmoja wa ccm na waziri wake ambao ni vijana na wanatoka wilaya moja ya mkoa wa mwanza,huenda wakatinga mahakamani muda wowote kujibu mashitaka dhidi yao.viongozi hao ambao wanamiliki jengo la ghorofa 8(hotel) lenye thamami ya mabilioni ya pesa ktk mtaa mmoja katikati ya jiji la Mwanza.Taarifa zilizopatikana ni kuwa viongozi hao kutokana na ubabe,utawala,jeuri ya pesa na kuhonga vyombo vya serikali,wamejikuta matatani dhidi ya familia moja ambayo inataka jengo hilo livunjwe kwa kuwa limeingilia kiwanja chao.waziri huyo aliye ziarani kanda ya ziwa juzi alipita kukagua ujenzi wa jengo ambalo liko mbioni kumalizika ambalo gumzo ktk jiji la mwanza lote