Uchaguzi 2020 Viongozi wastaafu himizeni haki itendeke

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,307
12,602
Tanzania ina wastaafu wengi sana ambao wanahudumiwa kwa kodi za Watanzania wote bila kujali dini Wala vyama vya siasa.

Wastaafu wetu hawana budi nao kuwahudumia walipa Kodi Hawa kwa kwa kuhakikisha kuwa wanahimiza na kuhubiri waziwazi bila woga, upendeleo wala unafiki kuhusu haki kwa raia, wagombea, vyama na wapiga kura wote. Waache kuihubiri amani kabla ya kuihubiri haki.

Akina Mzee Malechela, Msekwa, Makamba, Butiku, Mwingi, Kikwete, Butiku, Mongela, Anna Abdala, nk mko wapi wakati vijana wanapokaribia kuvurugana?

Wazee mnaiambia nini Serikali, Tume ya uchaguzi, ofisi ya msajili, wagombea na wapiga kura kuhusu kutenda haki?

Au mnasubiri hadi kilipuke ili nanyi mshangae? Kwa wazee huu sio muda wa kuunga mkono upande vinginevyo thamani yenu haitaonekana kwenye jamii. Mtakuwa wazee ambao hamstahili kuhudumiwa kwa Kodi zetu.
 
Sasa mkuu unataka walie au maana kila wakisimama majukwaani wanasisitiza amani.

Au unataka wampigie kampeni Lissu ndio uridhike?
 
Sasa mkuu unataka walie au maana kila wakisimama majukwaani wanasisitiza amani.

Au unataka wampigie kampeni Lissu ndio uridhike?
Mkuu wasihuri amani Bali wahubiri haki. Amani Ni tunda tu
 
CCM ilijiandaa kwa uchaguzi laini,ikiwezekana Rais kupita bila kupingwa. Matokeo yake imekua kinyume,imekutana na Uchaguzi mgumu kuliko wakati wowote tangu kuumbwa kwa taifa hili.

Hawakuwa wamejipanga kwa uchaguzi wa Aina hii.
 
Lissu kaidhoofisha kabisa mifumo ya Ulinzi wa anga ya CCM.
Sasa hivi anachokifanya Ni anajipigia tu anapotaka na wao hawana la kumfanya,wamebaki kwenye mahandaki wanasikiliza tu milio ya mabomu.
 
Akina Mzee Malechela, Msekwa, Makamba, Butiku, Mwingi, Kikwete, Butiku, Mongela, Anna Abdala, nk
Hapo labda Butiku tu.
Malechela ....mkewe
Makamba..... Wanawe
Mwinyi... .wanawe
Kikwete .....mkewe na mwanawe
Mongela....mwanawe John Mongela.
Warioba.... Mwanawe
Pinda ....mwanawe
Anna Makonda.... Mwanawe.

Maslahi ya hao ndiyo yanawafanya wawe mabubu
 
CCM ilijiandaa kwa uchaguzi laini,ikiwezekana Rais kupita bila kupingwa,
Matokeo yake imekua kinyume,imekutana na Uchaguzi mgumu kuliko wakati wowote tangu kuumbwa kwa taifa hili.
Hawakua wamejipanga kwa uchaguzi wa Aina hii.
CCM wamepigwa bonge la surprise na Lisu. Na litawadondosha.
 
Tanzania ina wastaafu wengi sana ambao wanahudumiwa kwa kodi za Watanzania wote bila kujali dini Wala vyama vya siasa.

Wastaafu wetu hawana budi nao kuwahudumia walipa Kodi Hawa kwa kwa kuhakikisha kuwa wanahimiza na kuhubiri waziwazi bila woga, upendeleo wala unafiki kuhusu haki kwa raia, wagombea, vyama na wapiga kura wote. Waache kuihubiri amani kabla ya kuihubiri haki.

Akina Mzee Malechela, Msekwa, Makamba, Butiku, Mwingi, Kikwete, Butiku, Mongela, Anna Abdala, nk mko wapi wakati vijana wanapokaribia kuvurugana?

Wazee mnaiambia nini Serikali, Tume ya uchaguzi, ofisi ya msajili, wagombea na wapiga kura kuhusu kutenda haki?

Au mnasubiri hadi kilipuke ili nanyi mshangae? Kwa wazee huu sio muda wa kuunga mkono upande vinginevyo thamani yenu haitaonekana kwenye jamii. Mtakuwa wazee ambao hamstahili kuhudumiwa kwa Kodi zetu.
Hao wote ni CCM na kwenye vichwa vyao neno HAKI halipo. Wanajua Amani tu na kwa tafsiri yao Amani ni utulivu ambao wenyewe wanasema watatumia nguvu zote kuleta amani.
 
Tanzania ina wastaafu wengi sana ambao wanahudumiwa kwa kodi za Watanzania wote bila kujali dini Wala vyama vya siasa.

Wastaafu wetu hawana budi nao kuwahudumia walipa Kodi Hawa kwa kwa kuhakikisha kuwa wanahimiza na kuhubiri waziwazi bila woga, upendeleo wala unafiki kuhusu haki kwa raia, wagombea, vyama na wapiga kura wote. Waache kuihubiri amani kabla ya kuihubiri haki.

Akina Mzee Malechela, Msekwa, Makamba, Butiku, Mwingi, Kikwete, Butiku, Mongela, Anna Abdala, nk mko wapi wakati vijana wanapokaribia kuvurugana?

Wazee mnaiambia nini Serikali, Tume ya uchaguzi, ofisi ya msajili, wagombea na wapiga kura kuhusu kutenda haki?

Au mnasubiri hadi kilipuke ili nanyi mshangae? Kwa wazee huu sio muda wa kuunga mkono upande vinginevyo thamani yenu haitaonekana kwenye jamii. Mtakuwa wazee ambao hamstahili kuhudumiwa kwa Kodi zetu.

Hao wastaafu walikuwa ni watenda haki enzi zao? N vyema tuingie tu kwenye machafuko ili kila mtu atekeleze wajibu wake.
 
Hao wote ni CCM na kwenye vichwa vyao neno HAKI halipo. Wanajua Amani tu na kwa tafsiri yao Amani ni utulivu ambao wenyewe wanasema watatumia nguvu zote kuleta amani.

Kabisa, hao wastaafu hawajawahi kutenda haki, bali wanahubiri ukondoo uitwao amani.
 
CCM ilijiandaa kwa uchaguzi laini,ikiwezekana Rais kupita bila kupingwa. Matokeo yake imekua kinyume,imekutana na Uchaguzi mgumu kuliko wakati wowote tangu kuumbwa kwa taifa hili.

Hawakuwa wamejipanga kwa uchaguzi wa Aina hii.
Nakubaliana na wewe, wangejuwa kampeni za uchaguzi zingekuwa hivi wasingekwaruzana na wazee akina Kinana, Makamba kwa kiwango Cha wazee kupigishwa magoti kuomba watoto wao akina polepole samahani
 
Lissu kaidhoofisha kabisa mifumo ya Ulinzi wa anga ya CCM.
Sasa hivi anachokifanya Ni anajipigia tu anapotaka na wao hawana la kumfanya,wamebaki kwenye mahandaki wanasikiliza tu milio ya mabomu.
Kitu kimoja atakachokumbukwa nacho Lissu Ni kuwaondolea hofu Vijana. Hofu na woga Ni mtaji mkubwa wa wanasiasa.
 
Tanzania ina wastaafu wengi sana ambao wanahudumiwa kwa kodi za Watanzania wote bila kujali dini Wala vyama vya siasa.

Wastaafu wetu hawana budi nao kuwahudumia walipa Kodi Hawa kwa kwa kuhakikisha kuwa wanahimiza na kuhubiri waziwazi bila woga, upendeleo wala unafiki kuhusu haki kwa raia, wagombea, vyama na wapiga kura wote. Waache kuihubiri amani kabla ya kuihubiri haki.

Akina Mzee Malechela, Msekwa, Makamba, Butiku, Mwingi, Kikwete, Butiku, Mongela, Anna Abdala, nk mko wapi wakati vijana wanapokaribia kuvurugana?

Wazee mnaiambia nini Serikali, Tume ya uchaguzi, ofisi ya msajili, wagombea na wapiga kura kuhusu kutenda haki?

Au mnasubiri hadi kilipuke ili nanyi mshangae? Kwa wazee huu sio muda wa kuunga mkono upande vinginevyo thamani yenu haitaonekana kwenye jamii. Mtakuwa wazee ambao hamstahili kuhudumiwa kwa Kodi zetu.
Usitegemee lolote kutoka kwa hawa wenye nyumba 10 alafu wanajengewa zingine za serikali. Hatma ya mtanzania ipo mikononi mwake mwaka huu sio kwa mtu yeyote. Ni jukuma la kila mtanzania kuchukua hatua ni kusuka au kunyoa mwaka huu
 
Hapo labda Butiku tu.
Malechela ....mkewe
Makamba..... Wanawe
Mwinyi... .wanawe
Kikwete .....mkewe na mwanawe
Mongela....mwanawe John Mongela.
Warioba.... Mwanawe
Pinda ....mwanawe
Anna Makonda.... Mwanawe.

Maslahi ya hao ndiyo yanawafanya wawe mabubu
Iko siku tutapendekeza kuwaondolea mafao yanayolipwa kwa Kodi za wananchi na kuiachia CCM wanayoitumikia iwatunze. Wazee Hawa lazima wabaki kuwa zawadi ya watanzania wote, wanapoendelea kubaki upande mmoja wanapoteza sifa ya kuhudumiwa na Kodi za watanzania.
 
kwanini mnapata hisia za HAKI kutotendeka? Ni hivi asije mtu akawaaminisha kuwa kuna mtu atashinda uchaguzi huu zaidi ya Magufuli,kazi kubwa aliyoifanya miaka mitano inastahili apewe miaka mitano tena October 28th tena kwa KISHINDO.

Kila Mtanzania mpenda amani na Mzalendo wa kweli wa Taifa hili kura yake ya ndio ni kwa JPM.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Hao wote ni CCM na kwenye vichwa vyao neno HAKI halipo. Wanajua Amani tu na kwa tafsiri yao Amani ni utulivu ambao wenyewe wanasema watatumia nguvu zote kuleta amani.
Wazee Hawa wako kimya wagombea wakitembelea na wakifungua majengo ya ibada wakati wa kampeni lakini wanashangaa kusikia mtu wa dini akipigia kampeni chama fulani. What is the difference Kati ya mtu kuingia misikitini na kufungua misikiti na mtu wa dini kusema chagueni chama fulani?
 
kwanini mnapata hisia za HAKI kutotendeka? Ni hivi asije mtu akawaaminisha kuwa kuna mtu atashinda uchaguzi huu zaidi ya Magufuli,kazi kubwa aliyoifanya miaka mitano inastahili apewe miaka mitano tena October 28th tena kwa KISHINDO.

Kila Mtanzania mpenda amani na Mzalendo wa kweli wa Taifa hili kura yake ya ndio ni kwa JPM.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Hakuna ubishi kuwa JPM ni mzalendo wa kweli wa nchi hii, lakini kama binadamu nae ana mapungufu yake. Watu wengi hawapendi ajikite kwenye ujenzi, ujenzi, ujenzi. Watu wengi hawapendi anavyopoka madaraka ya Bunge na Mahakama, Watu wengi hawapendi aiongoze nchi kama kampuni binafsi ili kupunguza kufanya makosa ambayo hakuyakusudia. Watu wengi hawapendi maendeleo yanayoambatana na maumivu makubwa kwa baadhi ya wananchi wenzetu. Watu wengi hawapendi demokrasia ya vyama vingi itokomezwe nchini maana wanafahamu faida na hasara ya kukosekana kwa vyama vingi vya siasa nchini.
 
Back
Top Bottom