Viongozi wapewe 'option ' kutumia lugha wanayoitaka

Rebeca 83

JF-Expert Member
Jun 4, 2016
14,840
31,583
Hello JF

Away from Ndugai news.

Leo nimejikuta nawaza kwa nini viongozi wasipewe option ya kutumia lugha ambayo ni rahisi/wako comfortable nayo kuitumia?

Najua kingereza ni kama PRIDE fulani, always tunamu admire mtu mwenye kingereza kilichonyooka ila tunasahau muundo wetu wa elimu ni mbovu hautoi watu wenye weledi wa hio lugha unless wale privileged wachache wanaoenda English-medium schools.

Anyway leo nilikua naomba viongozi wapewe ruhusa ya kuongea lugha nyingine yeyote ambayo wako comfortable nayo, ni bora mtu ameze PRIDE yake aongee kiswahili ,kuliko kuongea kingereza ambacho mwisho ni embarrassment. I believe viongozi wetu wamesoma, wapewe nafasi kuwasilisha waliyo nayo kwa wepesi.

Mwisho ningependa serikali yangu iangalie uwezekano wa kufundisha mashuleni kuanzia shule ya awali, mpaka chuo kikuu kwa lugha ya Kiingereza, umuhimu wa kufanya hivyo upo kwako mama Ndalichako both as academician and personal experiences unajua wapi gap lilipo, English isiwe kwa watoto wachache more privileged, bali iweke kama ni haki ya kila mtoto wa kitanzania. I believe its possible.
 
Siamini kama wanalazimishwa au wanalazimika kutumia lugha wasiyoiweza,bila ni hulks ya mwanasiasa kujikweza hata pale asipokuwa na uwezo, na matokeo ni kuaibika.

Mfano bungeni, wabunge wamejiaibisha kwa kuingiza neno moja tu la kiingereza katika maelezo yaliyokuwa yanakwenda vizuri akiwa anatumia Kiswahili.
 
English katika shule za kawaida ina changamoto sana. Ila wapo wanaojitahidi na wanatoka na fluency nzuri tu.
 
Hello JF

Away from Ndugai news.

Leo nimejikuta nawaza kwa nini viongozi wasipewe option ya kutumia lugha ambayo ni rahisi/wako comfortable nayo kuitumia?

Najua kingereza ni kama PRIDE fulani, always tunamu admire mtu mwenye kingereza kilichonyooka ila tunasahau muundo wetu wa elimu ni mbovu hautoi watu wenye weledi wa hio lugha unless wale privileged wachache wanaoenda English-medium schools.

Anyway leo nilikua naomba viongozi wapewe ruhusa ya kuongea lugha nyingine yeyote ambayo wako comfortable nayo, ni bora mtu ameze PRIDE yake aongee kiswahili ,kuliko kuongea kingereza ambacho mwisho ni embarrassment. I believe viongozi wetu wamesoma, wapewe nafasi kuwasilisha waliyo nayo kwa wepesi.

Mwisho ningependa serikali yangu iangalie uwezekano wa kufundisha mashuleni kuanzia shule ya awali, mpaka chuo kikuu kwa lugha ya Kiingereza, umuhimu wa kufanya hivyo upo kwako mama Ndalichako both as academician and personal experiences unajua wapi gap lilipo, English isiwe kwa watoto wachache more privileged, bali iweke kama ni haki ya kila mtoto wa kitanzania. I believe its possible.
Wewe mwenyewe umetuchanganyia lugha hapo, tunyooshee kiswahili sisi wa Seinti Kayumba tuelewe😅
 
Back
Top Bottom