Makusudically
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 2,215
- 1,240
Hayawi hayawi, Hatimaye viongozi waliofanyiwa Uonevu ndani ya Chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA kama walivyoita viongozi waliovuliwa nyazifa zao bila kufuata utafatibu na kiongozi ambaye wanadai, akiwatamkia wazi kuwa hasira zake zitaishia kwao , kwani yeye alinyimwa fursa ya uongozi CCM , hivyo hawa nao watakiona.
Kiongozi huyo ambaye aliwahi kuwa Waziri katika serikali ya CCM name sasa yuko CDM kiongozi meandamizi, aliwatimua viongozi 19 nakuwahakikishia kuwa wasipompatia fedha Tshs. 680,000 kula mmoja basi hawatatejea tena kwenye nafasi zao.
Kiongozi mmoja ambaye ni mmoja wa Watia nia kwenye nafasi ya Ubunge, jina lake (limehifadhiwa), kiongozi huyo anatokea ziwa magharibi na amenunua mgodi wa dhahabu kutoka mkoa mmoja hapa nchini kwa bilioni 17 kutokana name fedha za kifisadi alizozipata kutoka kwa mmoja wa Watia nia was Urais kupitia CCM, haifahamiki ni kwa makubaliano yapi.
Kiongozi huyu ameitisha wandishi wa habari nakuvunga kukanusha leo tarehe 6 Juni 2015, eti yeye hahusiki nakujiunga na CCM, nakwamba yeye bado ni mwanachama hai wa CDM. Watu wa karibu naye wanasema kwenye orodha ya majina pamoja na kadi za uanachama hata huyo jamaa kadi yake imo. Mamba za kadi hiyo (tunaihifadhi).
Kwa hali hii Chadema Wilaya na Mkoa wa Geita IMEKUFA.
Kiongozi huyo ambaye aliwahi kuwa Waziri katika serikali ya CCM name sasa yuko CDM kiongozi meandamizi, aliwatimua viongozi 19 nakuwahakikishia kuwa wasipompatia fedha Tshs. 680,000 kula mmoja basi hawatatejea tena kwenye nafasi zao.
Kiongozi mmoja ambaye ni mmoja wa Watia nia kwenye nafasi ya Ubunge, jina lake (limehifadhiwa), kiongozi huyo anatokea ziwa magharibi na amenunua mgodi wa dhahabu kutoka mkoa mmoja hapa nchini kwa bilioni 17 kutokana name fedha za kifisadi alizozipata kutoka kwa mmoja wa Watia nia was Urais kupitia CCM, haifahamiki ni kwa makubaliano yapi.
Kiongozi huyu ameitisha wandishi wa habari nakuvunga kukanusha leo tarehe 6 Juni 2015, eti yeye hahusiki nakujiunga na CCM, nakwamba yeye bado ni mwanachama hai wa CDM. Watu wa karibu naye wanasema kwenye orodha ya majina pamoja na kadi za uanachama hata huyo jamaa kadi yake imo. Mamba za kadi hiyo (tunaihifadhi).
Kwa hali hii Chadema Wilaya na Mkoa wa Geita IMEKUFA.