Viongozi walioenguliwa CHADEMA Geita watimkia CCM

Viongozi walioenguliwa CHADEMA Geita watimkia CCM

muleta maada tumia hakili sio kukulupuka tu hizi ndio adhari za kuchaguo viongozi wauza majeneza
 
Kwanza hujaeleweka unasema nin,

Hata ile kuwa unataka kusema Nin bado pia hueleweki kabisa
 
Nipo Geita hakuna mpambanaji yeyote wa cdm aliyehamia ccm, hizi habari ni za kutungwa ili kutupotezea malengo kwa ajili ya kulikomboa jimbo la geita!

Gebo, Mutta, Focus, n.k wamenihakikishia hilo!
 
by NCHAGWA JOSEPH
Hawa vijana na waende kwao ccm.walipojiunga cdm wamevuruga wanachama sana.wakimdharau ndg ROJAZ bili kujali mchango wake



NCHAGWA JOSEPH Wee nawe ni boya kweli kweli badala kujenga taasisi imara ya chama wewe unajenga Jina la mtu binafsi!

Hakuna alihamia ccm!
kundi lenu mpo busy kujenga jina la rojaz badala ya kujenga chama ujinga mtupu!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom