kadumaster08
Member
- May 30, 2013
- 78
- 15
Hao Ukawa hana ubavu wa kurusha live mchakato wao maana ni ugole na ufitina mkubwa.
Nasema hv maana hao NLA, NCCR & CUF wamefunga ndoa na Chadema wasio ijua. Kwa ufupi Chadema wanataka wao wawe ma dorminator na hao wengine wasiambulie kitu na ndo maana msemo wao ni "Chadema tukamate dola" na sio Ukawa.
Km unabisha waambie waoneshe huo mchakato wao live, pili ni sera hipi watatekeleza?
Nasema hv maana hao NLA, NCCR & CUF wamefunga ndoa na Chadema wasio ijua. Kwa ufupi Chadema wanataka wao wawe ma dorminator na hao wengine wasiambulie kitu na ndo maana msemo wao ni "Chadema tukamate dola" na sio Ukawa.
Km unabisha waambie waoneshe huo mchakato wao live, pili ni sera hipi watatekeleza?