ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,943
- 6,594
Nawashauri viongozi wa Yanga, msiwe na pressure kutoka Kwa mashabiki wasiojua mpira mkaingia kwenye mtego wa kumpa Aziz ki pesa ndefu takriban 1.3 billion, mtakuwa mmejichanganya.
Azizi ki Kwa Sasa ana miaka 29 kwenye mpira umri huo jua limezama, unaweza kumbakiza kumbe ndo amefika kwenye peak/ kilele cha career yake.
Nawasihi Yanga muwe na msimamo wa kiwango cha mshahara na utamaduni wenu.
Ukimwongeza Azizi pesa ya usajili na mshahara wa million 80 Kwa mwezi, kila mchezaji akimaliza mkataba atataka alipwe kama Aziz, Ambapo itakuwa gharama kuendesha team.
Africa Kuna vipaji vingi zaidi ya Aziz na vinataka pesa ndefu.
Hakuna mchezaji asiyeizwa au kuachwa akiingia tofauti na uchumi wa club.
Man u walimuuza Ronaldo, Barcelona walimuuza Mesi, arsenal walimuuza Henry na van persie n.k na Bado team zilikomaa na utamaduni wao wakafanya vyema.
Ukimwongeza Azizi ki mkataba wa pacome, yao, mdathir, aucho, max, bacca, job illkiisha watataka mabilion kama ya Aziz.
Wasalam
Azizi ki Kwa Sasa ana miaka 29 kwenye mpira umri huo jua limezama, unaweza kumbakiza kumbe ndo amefika kwenye peak/ kilele cha career yake.
Nawasihi Yanga muwe na msimamo wa kiwango cha mshahara na utamaduni wenu.
Ukimwongeza Azizi pesa ya usajili na mshahara wa million 80 Kwa mwezi, kila mchezaji akimaliza mkataba atataka alipwe kama Aziz, Ambapo itakuwa gharama kuendesha team.
Africa Kuna vipaji vingi zaidi ya Aziz na vinataka pesa ndefu.
Hakuna mchezaji asiyeizwa au kuachwa akiingia tofauti na uchumi wa club.
Man u walimuuza Ronaldo, Barcelona walimuuza Mesi, arsenal walimuuza Henry na van persie n.k na Bado team zilikomaa na utamaduni wao wakafanya vyema.
Ukimwongeza Azizi ki mkataba wa pacome, yao, mdathir, aucho, max, bacca, job illkiisha watataka mabilion kama ya Aziz.
Wasalam