Griss
JF-Expert Member
- Jun 26, 2025
- 337
- 1,945
Ally Kamwe acha upimbi wa kuwagawa Watanzania kisa yanga inadhaminiwa na GSM au Kikwete na wanakupa kula
Yanga ilikuwepo kabla ya Uhuru hata Kikwete ni mtoto mdogo Sana kwenye hii timu
Atadondoka na kuondoka na yanga itabaki
Tundu Lissu ni shabiki Lia Lia wa yanga na ameshakuwa mwanachama uko nyuma
Hii timu haiwezi kutumika kukandaniza haki za binadamu watu wote mkatufanya mapimbi tukanyamaza hapana
Watu kwanza yanga badae
Taifa kwanza yanga badae
Taifa kwanza CCM badae
Mtusamehe Sana wote mnaosapoti ubakaji,ulawiti,utekaji na ufiraji wa Watanzania na mnajificha kwenye mgongo wa yanga na CCM sisi wapenda mageuzi ya kweli hatutakubali
Bora yanga Ife na isambalatike lakini Taifa la Tanzania kuishi kwa usatawi ulio Bora!!
Ally Kamwe Eng Hersi nawaonya acha kuingiza siasa kwenye mpira ninyi bado vijana wadogo Sana!!
Yanga ilikuwepo kabla ya Uhuru hata Kikwete ni mtoto mdogo Sana kwenye hii timu
Atadondoka na kuondoka na yanga itabaki
Tundu Lissu ni shabiki Lia Lia wa yanga na ameshakuwa mwanachama uko nyuma
Hii timu haiwezi kutumika kukandaniza haki za binadamu watu wote mkatufanya mapimbi tukanyamaza hapana
Watu kwanza yanga badae
Taifa kwanza yanga badae
Taifa kwanza CCM badae
Mtusamehe Sana wote mnaosapoti ubakaji,ulawiti,utekaji na ufiraji wa Watanzania na mnajificha kwenye mgongo wa yanga na CCM sisi wapenda mageuzi ya kweli hatutakubali
Bora yanga Ife na isambalatike lakini Taifa la Tanzania kuishi kwa usatawi ulio Bora!!
Ally Kamwe Eng Hersi nawaonya acha kuingiza siasa kwenye mpira ninyi bado vijana wadogo Sana!!