KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,457
- 8,295
:A S-confused1:Hivi naomba kujulishwa mfumo wa uongozi nchini tanzania Nikianza na awamu ya pili hadi hii tuliyo nayo nikwanini wanaochukuwa madarakani huwa wanawaona waliokuwa viongozi enzi ya mwalimu Nyerere hawafai kuongoza kwenye serikali zao??wakati mfumo niuleule na chama nikilekile??
Kunanini haswa??:A S-confused1:
Kunanini haswa??:A S-confused1: