ndenjii handsome
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 647
- 704
Kati ya vitu ninavyoshindwa kuelewa ni kama hili suala.
Naombeni kwanza mniambie mimi mwananchi wetu sehem gani au ni mkoa gani ambao mmejitenga wenyewe
Maana haiwezekani wananchi wenu gharama ya maisha inapanda kiasi hiki alafu mnakuja mnajitokeza mnatoa majibu mepesi kwa vitu ambavyo vinawagharimu wananchi wenu,
Ina maana kama msoto huu unaoendelea hapa nchini tungekuwa tunakula wote, na kuishi wote mngejua namna ya kumsaidia mwananchi wenu,
Vitu vinapanda ovyo ovyo alafu anajitokeza kamtu kamoja kanaanza kusema, uchumi umeyumba kwenye nchi za wenzetu ndio maana haya yanatokea, hivi akili zenu zipo sawa.
Mara paah miujiza ya Mungu hiyoo Tanzania imehamia Jupiter au Mars na mpo wenyewe huko yaani watz tu sayari nzima hakuna nchi jirani wala misaada ya wahisani, Mngechukua hatua gani kuongoza nchi yenu?
Kiufupi hamtendi haki kazi kupeana vyeo ambavyo hata sioni vinamsaidia nini mwananchi ambaye saizi analia na mbolea, analia na mafuta,
Mnashindwa hata kuiga mifano nchi za wenzetu, kazi tu miradi ya kimkakati, mwananchi hoi nyie mpo tu
Naombeni kwanza mniambie mimi mwananchi wetu sehem gani au ni mkoa gani ambao mmejitenga wenyewe
Maana haiwezekani wananchi wenu gharama ya maisha inapanda kiasi hiki alafu mnakuja mnajitokeza mnatoa majibu mepesi kwa vitu ambavyo vinawagharimu wananchi wenu,
Ina maana kama msoto huu unaoendelea hapa nchini tungekuwa tunakula wote, na kuishi wote mngejua namna ya kumsaidia mwananchi wenu,
Vitu vinapanda ovyo ovyo alafu anajitokeza kamtu kamoja kanaanza kusema, uchumi umeyumba kwenye nchi za wenzetu ndio maana haya yanatokea, hivi akili zenu zipo sawa.
Mara paah miujiza ya Mungu hiyoo Tanzania imehamia Jupiter au Mars na mpo wenyewe huko yaani watz tu sayari nzima hakuna nchi jirani wala misaada ya wahisani, Mngechukua hatua gani kuongoza nchi yenu?
Kiufupi hamtendi haki kazi kupeana vyeo ambavyo hata sioni vinamsaidia nini mwananchi ambaye saizi analia na mbolea, analia na mafuta,
Mnashindwa hata kuiga mifano nchi za wenzetu, kazi tu miradi ya kimkakati, mwananchi hoi nyie mpo tu