Viongozi wa Tanzania mnaishi nchi gani ambapo hamuathiriwi na gharama za maisha?

ndenjii handsome

JF-Expert Member
Apr 27, 2021
647
704
Kati ya vitu ninavyoshindwa kuelewa ni kama hili suala.

Naombeni kwanza mniambie mimi mwananchi wetu sehem gani au ni mkoa gani ambao mmejitenga wenyewe

Maana haiwezekani wananchi wenu gharama ya maisha inapanda kiasi hiki alafu mnakuja mnajitokeza mnatoa majibu mepesi kwa vitu ambavyo vinawagharimu wananchi wenu,

Ina maana kama msoto huu unaoendelea hapa nchini tungekuwa tunakula wote, na kuishi wote mngejua namna ya kumsaidia mwananchi wenu,

Vitu vinapanda ovyo ovyo alafu anajitokeza kamtu kamoja kanaanza kusema, uchumi umeyumba kwenye nchi za wenzetu ndio maana haya yanatokea, hivi akili zenu zipo sawa.

Mara paah miujiza ya Mungu hiyoo Tanzania imehamia Jupiter au Mars na mpo wenyewe huko yaani watz tu sayari nzima hakuna nchi jirani wala misaada ya wahisani, Mngechukua hatua gani kuongoza nchi yenu?

Kiufupi hamtendi haki kazi kupeana vyeo ambavyo hata sioni vinamsaidia nini mwananchi ambaye saizi analia na mbolea, analia na mafuta,

Mnashindwa hata kuiga mifano nchi za wenzetu, kazi tu miradi ya kimkakati, mwananchi hoi nyie mpo tu
 
Watu wa namna hii unategemea waathiriwe na gharama za maisha?!
FLNZxoEXEAMgNf_.jpg
16446437841740.jpg
 
Kati ya vitu ninavyoshindwa kuelewa ni kama hili suala.

Naombeni kwanza mniambie mimi mwananchi wetu sehem gani au ni mkoa gani ambao mmejitenga wenyewe

Maana haiwezekani wananchi wenu gharama ya maisha inapanda kiasi hiki alafu mnakuja mnajitokeza mnatoa majibu mepesi kwa vitu ambavyo vinawagharimu wananchi wenu,

Ina maana kama msoto huu unaoendelea hapa nchini tungekuwa tunakula wote, na kuishi wote mngejua namna ya kumsaidia mwananchi wenu,

Vitu vinapanda ovyo ovyo alafu anajitokeza kamtu kamoja kanaanza kusema, uchumi umeyumba kwenye nchi za wenzetu ndio maana haya yanatokea, hivi akili zenu zipo sawa,
Nauliza tena akili zipo kweli kwenye hivyo vichwa?? Kabisa umeaminiwa na kupewa madaraka unakuja mbele ya umma na kuongea huu utumbo

Kana kwamba unaongoza watoto wako au wanafunzi shuleni,

mara paah miujiza ya Mungu hiyoo Tanzania imehamia Jupiter au Mars na mpo wenyewe huko yaani watz tu sayari nzima hakuna nchi jirani wala misaada ya wahisani, Mngechukua hatua gani kuongoza nchi yenu?

Kiufupi hamtendi haki kazi kupeana vyeo ambavyo hata sion vinamsaidia nini mwananchi ambaye saiz analia na mbolea,analia na mafuta,

Mnashindwa hata kuiga mifano nchi za wenzetu, kazi tu miradi ya kimkakati, mwananchi hoi nyie mpo tu
Mishahara na posho kubwa zinawawezesha kumudu gharama za maisha. Sisi wa mshahara wa laki huku mbolea laki na nusu ndo tunayaona haya. Wao uyoga wanaagiza South Africa.
 
Kati ya vitu ninavyoshindwa kuelewa ni kama hili suala.

Naombeni kwanza mniambie mimi mwananchi wetu sehem gani au ni mkoa gani ambao mmejitenga wenyewe

Maana haiwezekani wananchi wenu gharama ya maisha inapanda kiasi hiki alafu mnakuja mnajitokeza mnatoa majibu mepesi kwa vitu ambavyo vinawagharimu wananchi wenu,

Ina maana kama msoto huu unaoendelea hapa nchini tungekuwa tunakula wote, na kuishi wote mngejua namna ya kumsaidia mwananchi wenu,

Vitu vinapanda ovyo ovyo alafu anajitokeza kamtu kamoja kanaanza kusema, uchumi umeyumba kwenye nchi za wenzetu ndio maana haya yanatokea, hivi akili zenu zipo sawa.

Nauliza tena akili zipo kweli kwenye hivyo vichwa?? Kabisa umeaminiwa na kupewa madaraka unakuja mbele ya umma na kuongea huu utumbo

Kana kwamba unaongoza watoto wako au wanafunzi shuleni,

mara paah miujiza ya Mungu hiyoo Tanzania imehamia Jupiter au Mars na mpo wenyewe huko yaani watz tu sayari nzima hakuna nchi jirani wala misaada ya wahisani, Mngechukua hatua gani kuongoza nchi yenu?

Kiufupi hamtendi haki kazi kupeana vyeo ambavyo hata sion vinamsaidia nini mwananchi ambaye saiz analia na mbolea,analia na mafuta,

Mnashindwa hata kuiga mifano nchi za wenzetu, kazi tu miradi ya kimkakati, mwananchi hoi nyie mpo tu
Mishahara Minono,Posho za Kufa Mtu USAFIRI wa NDEGE,na MAV 8 kula kulala BURE,hawaendi Masokoni Unatarajia Wazijiue Gharama za Maisha kweli?
 
Kati ya vitu ninavyoshindwa kuelewa ni kama hili suala.

Naombeni kwanza mniambie mimi mwananchi wetu sehem gani au ni mkoa gani ambao mmejitenga wenyewe

Maana haiwezekani wananchi wenu gharama ya maisha inapanda kiasi hiki alafu mnakuja mnajitokeza mnatoa majibu mepesi kwa vitu ambavyo vinawagharimu wananchi wenu,

Ina maana kama msoto huu unaoendelea hapa nchini tungekuwa tunakula wote, na kuishi wote mngejua namna ya kumsaidia mwananchi wenu,

Vitu vinapanda ovyo ovyo alafu anajitokeza kamtu kamoja kanaanza kusema, uchumi umeyumba kwenye nchi za wenzetu ndio maana haya yanatokea, hivi akili zenu zipo sawa.

Nauliza tena akili zipo kweli kwenye hivyo vichwa?? Kabisa umeaminiwa na kupewa madaraka unakuja mbele ya umma na kuongea huu utumbo

Kana kwamba unaongoza watoto wako au wanafunzi shuleni,

mara paah miujiza ya Mungu hiyoo Tanzania imehamia Jupiter au Mars na mpo wenyewe huko yaani watz tu sayari nzima hakuna nchi jirani wala misaada ya wahisani, Mngechukua hatua gani kuongoza nchi yenu?

Kiufupi hamtendi haki kazi kupeana vyeo ambavyo hata sion vinamsaidia nini mwananchi ambaye saiz analia na mbolea,analia na mafuta,

Mnashindwa hata kuiga mifano nchi za wenzetu, kazi tu miradi ya kimkakati, mwananchi hoi nyie mpo tu
Wenzako kila kitu wanalipiwa na serikali hadi safari za hapa na pale
 
Back
Top Bottom