comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,222
- 5,946
Nimebaini kwa masikitiko kuwa viongozi wakuu wa kitaifa wa CCM (KATIBU MKUU NA KATIBU WA ITIKADI) kwenye ziara wanafunga barabara na kuzuia watumiaji wengine wa barabara kama inavyofanyika kwa washika DOLA. huu utamaduni unakera na ni chukizo - hivi sababu yake inaweza kuwa nini?