Viongozi wa Kiislamu Tanzania walaani ushoga; wasema bora kukosa misaada

Sasa tungoje na Kanisa litasemaje maana tunaona ndoa za mashoga hufanywa makanisani (huko nje).
 
Ushoga ni Laaana, Sodoma Na Gomora ziliteketezwa kwasababu ya ushoga, hakuan mtu mwenye akili timamu anayeutaka ushoga ila tabia ya kuhusiha na Ukristo kama FaizaFoxy anavyosema, sio sahihi hata kidogo. FF huwa mimi nakuheshimu sana ila tabia yako ya kuanzisha thread kishabiki namna hii siipendi hata kidogo, kuna tofauti kubwa sana kati ya Misikiti na Makanisa, the later huwa hawakurupuki, wanatulia, wana-digest kwanza kauli na uhalali wa mtoa mada na kisha ndio wana-react accordingly. Nakushauri sana washauri ndugu zako wasiwe waropokaji kiasi hicho, hata hivyo wapo wanaotumia jina au neno KANISA ili kuhalalisha uovu wao ila wakristo wa kweli wenye akili timamu wapo.

Hata hivyo kuna jambo huwa linakuwa gumu sana kwangu kulielewa; Wanapinga Ushoga (baadhi yenu) kisha nyie ndio mnaoongoza kwa ufirauni huo, reference zipo nyingi, kuna kisiwa fulani ukifika binti wengi ni bikira lakini wameshaharibiwa sehemu zao nyingine kisa kuilinda bikra....pili kilichofanywa na wale waislamu kwa Gadafi kumtia vijiti sehemu za siri tena hadharani tukiiteje? Je, kama hawa ndio wanaopiga makelele hatuutaki ushoga na nyuma ya pazia wana fanya hivyo tuwaeleweje??

Tuyaaache hayo yote, tuangalie hatma ya nchi yetu maana hata mashoga wa Bongo ambao walikuwa last time pale TGNP background zao ni Tanga na Zanzibar ambako population kubwa ni waisl...uwe na siku njema na next time usiwafuate hawa jamaa maana wana uono hafifu
 
Ustaadh mmoja pale msikiti wa Kimara Baruti yeye pomaja na kuwataka watanzania waukatae ushoga kwa nguvu zao zote, amependekeza kuwa kila mmoja ashiriki kwa vitendo kukomesha ushoga nchini kwa kwa kuwakemea, na kuwafukuza wote wanaojihusisha na vitendo hivyo katika nyumba zao, na mitaa yao, ili jamii isalimike na laana za mwenyezimungu.
 
Ushoga ni Laaana, Sodoma Na Gomora ziliteketezwa kwasababu ya ushoga, hakuan mtu mwenye akili timamu anayeutaka ushoga ila tabia ya kuhusiha na Ukristo kama FaizaFoxy anavyosema, sio sahihi hata kidogo. FF huwa mimi nakuheshimu sana ila tabia yako ya kuanzisha thread kishabiki namna hii siipendi hata kidogo, kuna tofauti kubwa sana kati ya Misikiti na Makanisa, the later huwa hawakurupuki, wanatulia, wana-digest kwanza kauli na uhalali wa mtoa mada na kisha ndio wana-react accordingly. Nakushauri sana washauri ndugu zako wasiwe waropokaji kiasi hicho, hata hivyo wapo wanaotumia jina au neno KANISA ili kuhalalisha uovu wao ila wakristo wa kweli wenye akili timamu wapo.

Hata hivyo kuna jambo huwa linakuwa gumu sana kwangu kulielewa; Wanapinga Ushoga (baadhi yenu) kisha nyie ndio mnaoongoza kwa ufirauni huo, reference zipo nyingi, kuna kisiwa fulani ukifika binti wengi ni bikira lakini wameshaharibiwa sehemu zao nyingine kisa kuilinda bikra....pili kilichofanywa na wale waislamu kwa Gadafi kumtia vijiti sehemu za siri tena hadharani tukiiteje? Je, kama hawa ndio wanaopiga makelele hatuutaki ushoga na nyuma ya pazia wana fanya hivyo tuwaeleweje??

Tuyaaache hayo yote, tuangalie hatma ya nchi yetu maana hata mashoga wa Bongo ambao walikuwa last time pale TGNP background zao ni Tanga na Zanzibar ambako population kubwa ni waisl...uwe na siku njema na next time usiwafuate hawa jamaa maana wana uono hafifu

Umesema vyema, nakuomba shusha pumzi kidogo, tulizana halafu fikiri, Jee, nilichosema si kweli?

Unayosema yote hayo kuhusu sodoma na gomora nakubaliana na wewe mia kwa mia, lakini ndugu yangu, ukweli unabaki kuwa ukweli. Mashoga wanaoana kanisani na vilevile tumeona, dunia nzima wameona hata wachungaji wa kanisa Anglikana wameoana tena ni watu wakubwa sana kanisani, nini cha kukataa hapo? hivi kwanini tukatae mabaya kuwa yapo tena yanatendeka makanisa waziwazi, vielelezo kibao kwenye mtandao.
 
Umesema vyema, nakuomba shusha pumzi kidogo, tulizana halafu fikiri, Jee, nilichosema si kweli?

Unayosema yote hayo kuhusu sodoma na gomora nakubaliana na wewe mia kwa mia, lakini ndugu yangu, ukweli unabaki kuwa ukweli. Mashoga wanaoana kanisani na vilevile tumeona, dunia nzima wameona hata wachungaji wa kanisa Anglikana wameoana tena ni watu wakubwa sana kanisani, nini cha kukataa hapo? hivi kwanini tukatae mabaya kuwa yapo tena yanatendeka makanisa waziwazi, vielelezo kibao kwenye mtandao.

Ni kweli sio kanisani tu hata maeneo mengine yanatendeka waziwazi, wewe si umeona hata Libya ambayo ni nchi ya 'kikristo' Kanali kitu amefanywa?

Hili ni janga la jamii nzima, bila kujali dini! Kama watz kwa pamoja tuseme hapana, kiongozi ambaye ataguswa sana na kukosa huo msaada kis**ge aende mwenyewe akashikishwe/au kushikisha mtu wall, then atumbue pesa zake.
 
Dadad FF haya nimeshusha pumzi, ni kweli wala sijasema kuwa KANISA ni safi ila nilichomaaanisha ni kwamba, si kila kanisa ni kanisa, umenielewa? Mwizi akienda kuiba kanisani au kama mwizi ana jina la kikristo hautuwezi kujumuisha kuwa wakristo wote ni wezi, tatizo langu kwako ni hapo ulipofanya generalization, ukiaka ujue msimamo wa kanisa wakati msiamamo umeshakuwepo ever since, kwa TZ nakukumbusha mgogoro wa Anglikana Dodoma na pengine pote, hili halihitaji tamko maana ni ukweli ambao uko wazi, hii ni laana jamani FF, hii haihitaji Tamko, haihitaji kuoa tamko kuwa wizi ni dhambi ilivyo dhambi ya uzinzi na uasherati...vipi tumeenda sawa??

Kumbuka sasa kuwa dini nyingi zimegeuzwa kuwa vijiwe vya shetani, hapa nazungumzia dini zote, wapo waliojificha kwenye dini ili wafanye maovu yao, Bible na Quran hazisapoti ushoga kwa hio yoyote yule ataekae usapoti ni wazi kuwa amepotosha neno hilo la MUNGU so kwangu hili halihiatji tamko
Umesema vyema, nakuomba shusha pumzi kidogo, tulizana halafu fikiri, Jee, nilichosema si kweli?

Unayosema yote hayo kuhusu sodoma na gomora nakubaliana na wewe mia kwa mia, lakini ndugu yangu, ukweli unabaki kuwa ukweli. Mashoga wanaoana kanisani na vilevile tumeona, dunia nzima wameona hata wachungaji wa kanisa Anglikana wameoana tena ni watu wakubwa sana kanisani, nini cha kukataa hapo? hivi kwanini tukatae mabaya kuwa yapo tena yanatendeka makanisa waziwazi, vielelezo kibao kwenye mtandao.
 
Dadad FF haya nimeshusha pumzi, ni kweli wala sijasema kuwa KANISA ni safi ila nilichomaaanisha ni kwamba, si kila kanisa ni kanisa, umenielewa? Mwizi akienda kuiba kanisani au kama mwizi ana jina la kikristo hautuwezi kujumuisha kuwa wakristo wote ni wezi, tatizo langu kwako ni hapo ulipofanya generalization, ukiaka ujue msimamo wa kanisa wakati msiamamo umeshakuwepo ever since, kwa TZ nakukumbusha mgogoro wa Anglikana Dodoma na pengine pote, hili halihitaji tamko maana ni ukweli ambao uko wazi, hii ni laana jamani FF, hii haihitaji Tamko, haihitaji kuoa tamko kuwa wizi ni dhambi ilivyo dhambi ya uzinzi na uasherati...vipi tumeenda sawa??

Kumbuka sasa kuwa dini nyingi zimegeuzwa kuwa vijiwe vya shetani, hapa nazungumzia dini zote, wapo waliojificha kwenye dini ili wafanye maovu yao, Bible na Quran hazisapoti ushoga kwa hio yoyote yule ataekae usapoti ni wazi kuwa amepotosha neno hilo la MUNGU so kwangu hili halihiatji tamko


Ahsante tupo pamoja.

Wakubwa sana kanisani wameshabariki ndoa za mashoga, Anglican church ndio usiseme, sasa ndugu yangu kuna pakukimbilia hapo? karibu Masjid;

Soma: Church same-sex blessings across Europe « Via Integra
 
Sasa tungoje na Kanisa litasemaje maana tunaona ndoa za mashoga hufanywa makanisani (huko nje).

kanisa lilishatoa tamko long time, kwanza haya mambo yalianzia huko makanisani, walitaka makanisa ya kibongo yatambue hilo swala bila hivyo watawanyima misaada, makanisa ya kiafrika yakakataa na wakaunda umoja wao.

ukiangalia mashoga wengi wanatoka magomeni,k/ndoni na asilimia 90 ni waislam na hata ukisikiliza chanzo chao cha kuingia kwenye hiyo tabia ni waarabu ambao nao ni waislam achilia tabia ya kuruka ukuta kwa wake zao. tatizo unafiki upo mwingi sna kwenye hii dini...

pamoja na kua muislam lakni najua tunaunafiki mwingi kwenye mambo mengi mifano ipo mingi sana.
 
kanisa lilishatoa tamko long time, kwanza haya mambo yalianzia huko makanisani, walitaka makanisa ya kibongo yatambue hilo swala bila hivyo watawanyima misaada, makanisa ya kiafrika yakakataa na wakaunda umoja wao.

ukiangalia mashoga wengi wanatoka magomeni,k/ndoni na asilimia 90 ni waislam na hata ukisikiliza chanzo chao cha kuingia kwenye hiyo tabia ni waarabu ambao nao ni waislam achilia tabia ya kuruka ukuta kwa wake zao. tatizo unafiki upo mwingi sna kwenye hii dini...

pamoja na kua muislam lakni najua tunaunafiki mwingi kwenye mambo mengi mifano ipo mingi sana.

Na wanaoana kanisani?
 
kuna sheikh mkuu wa mkoa wa morogoro Omary Bafadhir alikuwa shoga ivi sasa ni marehemu..

Aliolewa msikiini? mimi nawajua wachungaji walioolewa na wanaume wenzao kanisani tena picha zimo kwenye mtandao.
 
Back
Top Bottom