Mbunge: Hali ya Ushoga Tanzania ni Mbaya, ashutumu NGOs Kusambaza Ushoga

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,112
49,826
Swali.

Mbona anakomaa na NGOs lakini anamuacha Papa? 🤣🤣🤣🤣

View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1755494219697754188?t=8ppSytj_w1Zlq7vswmm4ZQ&s=19

----
Mbunge wa viti maalumu kupitia chama cha mapinduzi Mhe. Riziki Lulida ameiomba serikali kugakuga fedha zinazoingizwa katika mashirika ambayo sio ya kiserikali kwani fedha hizo zimekua zikichochea uharibu mkubwa kwenye jamii hasa kuunga mkono swala la ushoga.

Mhe. Riziki Amesema hali ya ushoga Tanzania ni mbaya ikiwa vijana wengi wanaharibika kutokana na ushawishi ambao unaendelea kuenezwa na baadhi ya mashirika binafsi.

 
Swali.

Mbona anakomaa na NGOs lakini anamuacha Papa? 🤣🤣🤣🤣

----
Mbunge wa viti maalumu kupitia chama cha mapinduzi Mhe. Riziki Lulida ameiomba serikali kugakuga fedha zinazoingizwa katika mashirika ambayo sio ya kiserikali kwani fedha hizo zimekua zikichochea uharibu mkubwa kwenye jamii hasa kuunga mkono swala la ushoga.

Mhe. Riziki Amesema hali ya ushoga Tanzania ni mbaya ikiwa vijana wengi wanaharibika kutokana na ushawishi ambao unaendelea kuenezwa na baadhi ya mashirika binafsi.

MUNGU wangu!!!!!!!,au tayari wamehalalisha nini???????......haki ya MUNGU marehemu MAGUFULI angekuwepo ushetani kama huu asingekubali kamwe!!!!,,,inakuwaje ?????kwa nini wan2mia mapesa yote hayo kwa ajili ya UPPPZI huu??? why??????.......ahaaa!!! nimekumbuka kauli moja" wanaume wa2 wazima fanyaneni nyie wenyewe wenye misuli,msituharibiwe watoto we2" alipata kusema m2 mmoja ivi!!!....da!!!...so sad aisee!
 
nimeona mitandaoni huko bagamoyo DC anafungia vituo vya hovyo yaani mpaka anapata kigugumizi kutaja zana alizoziita za kufundishia watoto ambazo wamezipeleka polisi kama ushahidi, kuna eneo tumefeli sana kujitia uzungu, wakati mwingine kujitoa ufahamu kwasababu ya umasikini wetu tunapokea kila aina ya misaada bila hata kuangalia masharti yake.
 
nimeona mitandaoni huko bagamoyo DC anafungia vituo vya hovyo yaani mpaka anapata kigugumizi kutaja zana alizoziita za kufundishia watoto ambazo wamezipeleka polisi kama ushahidi, kuna eneo tumefeli sana kujitia uzungu, wakati mwingine kujitoa ufahamu kwasababu ya umasikini wetu tunapokea kila aina ya misaada bila hata kuangalia masharti yake.
da!!!!...tumwazime MUSEVEN aje atutawale ashuhulikie ili jambo!!!
 
kweli kabisa maana kile chuma kiliwakamata wale wanaume mabwabwa waliokuwa wameoana kimewaweka ndani mpaka watakapopeana mimba ndipo awaachie yule ndio mwamba sasa.
Makonda pekee ndio alithubutu kuwasaka Mashoga,huyo chuma wako alipoulizwa na Wazungu akaishia kumung'unya maneno na kudai msimamo wa Makonda sio wa Serikali na wala hawajamtuma.Wakamkana na msako ukaishia hapo.

Si Bora na Samia ameongeza makali kwenye sheria ya Ushoga na watu kadhaa wameshafikoshwa kizimbani.

Swala la pesa za NGOs nimewahi liandikia mada humu kwamba wawe Wana compliments miradi ya serikali ila watu wakatoa povu kama zote.

Hao NGOs wanatumia zaidi ya Trilioni 2.5 Kila mwaka kwenye miradi isiyoeleweka.
 
MUNGU wangu!!!!!!!,au tayari wamehalalisha nini???????......haki ya MUNGU marehemu MAGUFULI angekuwepo ushetani kama huu asingekubali kamwe!!!!,,,inakuwaje ?????kwa nini wan2mia mapesa yote hayo kwa ajili ya UPPPZI huu??? why??????.......ahaaa!!! nimekumbuka kauli moja" wanaume wa2 wazima fanyaneni nyie wenyewe wenye misuli,msituharibiwe watoto we2" alipata kusema m2 mmoja ivi!!!....da!!!...so sad aisee!
Wewe mtu,huo ndiyo uandishi gani?
-!!!!!!!=?
-wa2,we2,m2=?
-,,,,,,=?
 
Kuna ufadhiri wa pesa nyingi sana kutoka Duniani huko kuendeleza haya Mambo yaani unakuta NGO Ina jina kubwa Ila ukishakuwa deep kufanya nao kazi ndo unajua Siri za ndani
 
Huyu mpuz kweli

Anapiga kelele wakati hao mashoga

Wanaishi nao na kujumuika nao

Na wengine wako kwenye media wanawasikiliza

Ova
 
Swali.

Mbona anakomaa na NGOs lakini anamuacha Papa? 🤣🤣🤣🤣

----
Mbunge wa viti maalumu kupitia chama cha mapinduzi Mhe. Riziki Lulida ameiomba serikali kugakuga fedha zinazoingizwa katika mashirika ambayo sio ya kiserikali kwani fedha hizo zimekua zikichochea uharibu mkubwa kwenye jamii hasa kuunga mkono swala la ushoga.

Mhe. Riziki Amesema hali ya ushoga Tanzania ni mbaya ikiwa vijana wengi wanaharibika kutokana na ushawishi ambao unaendelea kuenezwa na baadhi ya mashirika binafsi.

Lissu na Chadema yake alisema ni faragha wasisumbuliwe.
 
Kuna ufadhiri wa pesa nyingi sana kutoka Duniani huko kuendeleza haya Mambo yaani unakuta NGO Ina jina kubwa Ila ukishakuwa deep kufanya nao kazi ndo unajua Siri za ndani
kuna NGO moja ilikuwa inataka vijana wabichi tu, kama umekomaa hawakutaki.
 
Back
Top Bottom