Viongozi wa dini watoa tamko la amani

Viongozi wa dini watoa tamko la amani

tamko limetimia na limejaa busara nyingi sana, na naliona halina chembe ya kukurupuka
 
Ubalozi wa Vatican ambao unatoa huduma za kiroho kwa Wakristo tu umeruhiwa nchini wakati OIC ambayo itawafaidisha Watanzania wote inakataliwa, huoni kuwa Tanzania ni kwa Wakatoliki tu?
imewafaidisha nini waliojiunga? Unaotea misada tu! Hujui cha mwenzio mavi kula uliwe? Hujiulizi chanzo cha mapato yao ni nini hadi wakusaidie wewe? Una umaskini gani tz hadi utegemee chama kama oic? JITAMBUE! Halafu katiba na malengo ya oic mbona yamekaa kishari? Mf katiba ya oic inazimisha nchi ndio ijiunge kwani oic ni nchi? Na lengo lake mojawapo ni kuwaunganisha nchi wanachama kuitandika Israel! Unaona hayo ni mawili tu! Leo unalinganisha nchi ya Vatican na kajichama ka kisanii?
 
imewafaidisha nini waliojiunga? Unaotea misada tu! Hujui cha mwenzio mavi kula uliwe? Hujiulizi chanzo cha mapato yao ni nini hadi wakusaidie wewe? Una umaskini gani tz hadi utegemee chama kama oic? JITAMBUE!
Duuh!
Maaskofu walitoa tamko na bila ya wasiwasi wowote wakielezea wanavyosaidiwa na Makanisa ya Ujerumani hukusema kitu.

Wakristo kutwa wanakuja humu na kujigamba jinsi walivyojengewa hospitali hii au ile, hujaonekana kuwalaumu kuwa wanaotea misaada tu.

...ila Muislamu ambaye hana MoU na serikali akitaka kujiunga na OIC ili naye apate angalau unafuu unapiga kelele kuwa anaotea misaada!
 
Duuh!Maaskofu walitoa tamko na bila ya wasiwasi wowote wakielezea wanavyosaidiwa na Makanisa ya Ujerumani hukusema kitu.Wakristo kutwa wanakuja humu na kujigamba jinsi walivyojengewa hospitali hii au ile, hujaonekana kuwalaumu kuwa wanaotea misaada tu....ila Muislamu ambaye hana MoU na serikali akitaka kujiunga na OIC ili naye apate angalau unafuu unapiga kelele kuwa anaotea misaada!
hayo makanisa ya Ujerumani au caritas yaliweka masharti kwamba ili isaidie lazima tz ijiunge na caritas? umebakia mou mou! Aliyewazuia nanyi kuanzisha mou nani? Ndio sababu sijawahi kusikia msikiti umejenga shule! Hospitali! Kisima cha maji...! Mmebakia alahu yaalam na ngenga tu! Ninachosikia toka misikitini ni adhana na kumsifia allah ni mkubwa! Kama allah mkubwa si mumuombe awashughulikie mnaodai wanawadhulumu? Someni albadiri! Itiqafu! Muhalira...Ili wale mnaoona wanawaonea allah awaangamize kuliko mikelele isiyo na mashiko mnayotupigia sie wengine ni walalahoi! si heri yako wewe raqaa3 unzianapata kwa wepesi? Kweli shukrani ya punda ni mashuzi! Nyerere amenyang'anya shule za kanisa ambazo zimejengwa kwa msaada wa sadaka zetu na wakristo wenzetu ili na nyie mpate wepesi leo mnachonga kichizi? daah!
 
hayo makanisa ya Ujerumani au caritas yaliweka masharti kwamba ili isaidie lazima tz ijiunge na caritas? umebakia mou mou! Aliyewazuia nanyi kuanzisha mou nani? Ndio sababu sijawahi kusikia msikiti umejenga shule! Hospitali! Kisima cha maji...!
Pope alipokuja nchini alikuja kama kiongozi wa kidini au wa nchi?
 
Hakuna tamko hapo bali ni Malalamiko tu ambayo hayatoi suluhisho la Amani ya Nchi yetu.
 
Back
Top Bottom