johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,918
- 141,882
Viongozi wa chadema leo wameshindwa kuanza kujitetea katika tuhuma zinazowakabili baada ya Mawakili wao kuwa na mashauri mengine huko Mahakama kuu.
Hakimu anayesikiliza kesi hiyo ameihairisha hadi Sept 24 ambapo vigogo hao wa chadema wataanza kutoa utetezi wao.
Source ayo tv
Maendeleo hayana vyama!
Hakimu anayesikiliza kesi hiyo ameihairisha hadi Sept 24 ambapo vigogo hao wa chadema wataanza kutoa utetezi wao.
Source ayo tv
Maendeleo hayana vyama!