Jamani nimesikiliza Hotuba hii ya Jk Nyerere na kuamini ya kwamba kama Viongozi wetu katika nyanja zote za kiutendaji (serikalini na ndani ya vyama vyetu) wangeufanyia kazi, hakika nchi yetu pendwa ya Tanzania ingekuwa mbali katika nyanja zote hasa za kiuchumi, kisiasa, kijamii na kiutamaduni.
Sikiliza nawe Mtanzania hii hotuba na utafakari, then uchukue hatua na kila mtu kwa nafasi yake.
Hotuba ya Mwalimu Nyerere, Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma - 1995 - YouTube
RDI.
Sikiliza nawe Mtanzania hii hotuba na utafakari, then uchukue hatua na kila mtu kwa nafasi yake.
Hotuba ya Mwalimu Nyerere, Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma - 1995 - YouTube
RDI.