Viongozi wa awamu ya tano wengi wajiandae kufungwa maisha

mcoloo

JF-Expert Member
Jun 3, 2015
918
1,401
Viongozi wa serikali ya awamu ya tano wameshindwa kumshauri Rais wetu njinsi ya kuweka usawa katika demokrasia nchini, hili liko wazi na ushahidi wake umeandikwa kwa kalamu ya chuma ndani ya mioyo ya nyama ya watanzania.

Wamejisiahau kuwa kuna watu wenye kinga ya kushtakiwa kwa makosa waliyo yatenda wakiwa madarakani.

Watanzania wenye mapenzi ya dhati na nchi yetu tunasubiri kwa hamu kubwa utawala wa awamu hii uishe ili tuwaburuze mahakamani. Na hili litakuwa fundisho kwa vizazi vijavyo.

Wajukuu wa watoto wetu watakapo uliza ni kwanini baraza lote la mawaziri wa serikali ya awamu ya tano walifungwa maisha, jibu litakuwa walifungwa maisha kwa sababu wali inajisi demokrasia ya nchi yetu pale walipo pewa ridhaa na wananchi ya kutuongoza.

Sasa hivi wanafurahi kwa kushibisha matumbo yao, ila baada ya awamu hii kupita watalia na kusaga meno wakiwa magerezani.

Na ndiyo maana wanapewa taarifa mapema kuwa wajiandae kufungwa magerezani maisha. Mungu ibariki Tanzania na watu wake.
 
...
Wajukuu wa watoto wetu watakapo uliza ni kwanini baraza lote la mawaziri wa serikali ya awamu ya tano walifungwa maisha, jibu litakuwa walifungwa maisha kwa sababu wali inajisi demokrasia ya nchi yetu pale walipo pewa ridhaa na wananchi ya ...

Hapo kwenye nyekundu: Dah kiongozi inaonyesha umepania sana
 
wameshindwa kumshauri
1. Ni kifungu gani katika sharia zetu kinasema ukimshauri boss wako vinaya ni kosa la jinai/civil
2. Si kweli anaweza kushitakiwa kwa jinai kwa makosa nje ya madaaka yake

MWENYEWE HASHAURIKI, DIKITEITA HUWA JANA MSHAURI, NI JEURI, KIBURI
 
Ja.ani eeeeh
Hao wasaidizi kila siku watupiwe zigo la mavi wao tuu?

Mbona kama shida iko kwa mchagua wasaidizi,ye asiyaone yote hayo?
Kama ni wehu unaanzia kuchagua kisichokufaa mwenyewe,swala la wasaidizi mpk matamko wanatoa wao jamani?

Dah..!?
 
Ninakumbuka wakati wa utawala wa Rais Mkapa mpaka Rais Kikwete mlikuwa mnasema hivi hivi mnavyosema kwa sasa kuwa watashitakiwa kwenye Mahakama za kimataifa ( ICC) lakini kwa kushangaza kwa sasa mmekuwa mstari wa mbele kuwashangilia kila wanapotoa hotuba!

CCM wanawajua jinsi mlivyo na akili zenye kumbukumbu ndogo (Chimpanzee memory)!

Hata Rais Magufuli akiondoka madarakani mtasahau na kuanza kumshangilia kila akitoa hotuba!

Tanzania kuna vituko!
 
For the first time, CCM imemchukia mteule wake akiwa madarakani hivyo ni tofauti na ilivyokuwa awali kuwa wote walimaliza salama.
Tafakari ukitumia akili na sio moyo.
CCM ipi hiyo iliyomchukia mteule wake?

Wanachama wachache kumchukia Mwenyekiti haibebi dhana ya chama chote. Kumbuka chama kikubwa kama CCM hakikosi wanachama wanaotofautiana mitazamo!

Nadhani hujui kuna baadhi ya watu wachache ndani ya CCM wakati Rais Kikwete akiwa Mwenyekiti walitaka kugawanya kofia ya Rais na Mwenyekiti kwa sababu walidhani Mzee Kikwete hafanyi maamuzi waliyokuwa wanadhani yanasababisha CCM kupoteza nguvu kisiasa lakini mawazo yao yalipingwa na wanachama wengi.

Unanishangaza sana pale unapojiaminisha masuala ambayo huyajui vizuri!

Ninajua Rais Magufuli naye akimaliza muda wake mtaanza pia kumshangilia!
 
MsemajiUkweli,
Ndani ya CCM wapo ambao yeye mmoja ana kauli kuliko wanachama wa aina yako mamia.
Ndio maana nimesema tafakari kwa kutumia akili na sio moyo.
 
Tunajua watafanya kila mbinu aliyewateua na mwenye kinga asiondoke lakini zama hizi. huwa zina mwisho na watakioa cha moto
Ikibidi atafanyiwa jinsi alivyo fanyiwa Chiluba katiba inabadilishwa na mtu anaingia magereza. Hakuna kinacho shindikana. Wakati utasema tu.
 
Viongozi wa serikali ya awamu ya tano wameshindwa kumshauri Rais wetu njinsi ya kuweka usawa katika demokrasia nchini, hili liko wazi na ushahidi wake umeandikwa kwa kalamu ya chuma ndani ya mioyo ya nyama ya watanzania.

Wamejisiahau kuwa kuna watu wenye kinga ya kushtakiwa kwa makosa waliyo yatenda wakiwa madarakani.

Watanzania wenye mapenzi ya dhati na nchi yetu tunasubiri kwa hamu kubwa utawala wa awamu hii uishe ili tuwaburuze mahakamani. Na hili litakuwa fundisho kwa vizazi vijavyo.

Wajukuu wa watoto wetu watakapo uliza ni kwanini baraza lote la mawaziri wa serikali ya awamu ya tano walifungwa maisha, jibu litakuwa walifungwa maisha kwa sababu wali inajisi demokrasia ya nchi yetu pale walipo pewa ridhaa na wananchi ya kutuongoza.

Sasa hivi wanafurahi kwa kushibisha matumbo yao, ila baada ya awamu hii kupita watalia na kusaga meno wakiwa magerezani.

Na ndiyo maana wanapewa taarifa mapema kuwa wajiandae kufungwa magerezani maisha. Mungu ibariki Tanzania na watu wake.
mmeishiwa mpaka mnatisha,
si muda mrefu mtaanza kunyongana wenyewe!

malizeni uchaguzi kwanza acha unyofyonyofyo wako humu.
watu wanachapa kazi wewe na wajinga wenzio mnazsesha vidole kulalamikia ujinga badala ya kufanya kazi halalimmebaki kutumika kama kon**mu

tuko nae bulldozer mpaka 2025

hutaki kajitundike wewe na wenzio ..
 
Back
Top Bottom