Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,397
Wakuu Salaaam.Nikiwa Nimeketi Katika Zulia Langu Na Mto Ukiniliwaza Nimepata Kutizama TV E Na Kukuta Makonda Akizungumza
Huko Dar es salaam Mbagala Kunako Endelea Zoezi La Upatikanaji Wa KITAMBULISHO pmj Na Usajili kwaalama Ya Dole
Nimesikitika Sanaa Kashindwa Kuzungumzia Na changamoto Tunazopata Wananchi Katika Hili zoezi Lkn Kaenda Mbaali Ku Blame.
Nakuongea MANENO Ya shombo
Nanukuu:Hatuongezi Hata Second Katika Kuzima Line Zoote Zisizo Sajiliwa Mmebakia Umbea Nakukaa Kusema watu
Mimi Nimekuja Sio Kuwatia Moyo Nimekuja Kuwashangaeni Kumbe Ndio Hawa Mpaka walazimishwe
Mpaka wasikie TCRA Ndio wajitokeze
Mwisho wa Kunukuu
Serekali Inapenda Sana Command lkn Inashindwa Kuelewa Kuwa Nchi Yoyote Yenye Mafanikio Niyenye Kufata Taratibu Na Sheria
Wananchi Tunapitia Changamoto Nyingi katika Kupata Hivi Vitambulisho Wapo walio Fata Hatua zote Lkn Mwisho Wasiku Taarifa zao Zimeelezwa Sio Sahii Zingine Hazionekani
Ivyo Warudie tena
Wanashindwa Kuelewa Watu Wahali Yachini Wanategemea Ajira Zenye Ma boss Wenye Gubu Nabiashara Zenye Kuhitaji Nguvu Nyingi Kupata Wateja
Wapo Walio Poteza Kazi Zao Kwajili Ya Kufatilia Swala Hili Bila Mafanikio Lkn wapo Pia Walio Shusha Idadi Ya Mapato Yao Kwasiku
Kwaajili Ya Zoezi Hili hili La Vitambulisho
Nauliza tu Kama Serikali Yetu Nisikivu Na Wanatamani Sote Kupata KITAMBULISHO Kwann Hapo Awali Hawakutengeneza Mazingira
Ya Wadau Wote Wakufanikisha hili zoezi Kutimia Kukaa Pmj Kama sasa wanavyo Fanya
Ninacho Jaribu Kuona Kinacho Fanyika
Niuonevu Na Unyanyasaji Kwawatu wachini Wasio Nahatia Hataka Kdg Katika hili
Mbaya Zaidi Wana Limits Line za kusajili Vipi ikiwa Mwananchi Nimfanya biashara Kama Wa Tigo pesa Mwenye Duka Zaidi Yatano
Hili suala Litamuasiri vipi Huyu Mfanyabiashara? Nikweli Tunateleza Dhana Yahapa kazi tu Au Hapa Tabu Tuu..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko Dar es salaam Mbagala Kunako Endelea Zoezi La Upatikanaji Wa KITAMBULISHO pmj Na Usajili kwaalama Ya Dole
Nimesikitika Sanaa Kashindwa Kuzungumzia Na changamoto Tunazopata Wananchi Katika Hili zoezi Lkn Kaenda Mbaali Ku Blame.
Nakuongea MANENO Ya shombo
Nanukuu:Hatuongezi Hata Second Katika Kuzima Line Zoote Zisizo Sajiliwa Mmebakia Umbea Nakukaa Kusema watu
Mimi Nimekuja Sio Kuwatia Moyo Nimekuja Kuwashangaeni Kumbe Ndio Hawa Mpaka walazimishwe
Mpaka wasikie TCRA Ndio wajitokeze
Mwisho wa Kunukuu
Serekali Inapenda Sana Command lkn Inashindwa Kuelewa Kuwa Nchi Yoyote Yenye Mafanikio Niyenye Kufata Taratibu Na Sheria
Wananchi Tunapitia Changamoto Nyingi katika Kupata Hivi Vitambulisho Wapo walio Fata Hatua zote Lkn Mwisho Wasiku Taarifa zao Zimeelezwa Sio Sahii Zingine Hazionekani
Ivyo Warudie tena
Wanashindwa Kuelewa Watu Wahali Yachini Wanategemea Ajira Zenye Ma boss Wenye Gubu Nabiashara Zenye Kuhitaji Nguvu Nyingi Kupata Wateja
Wapo Walio Poteza Kazi Zao Kwajili Ya Kufatilia Swala Hili Bila Mafanikio Lkn wapo Pia Walio Shusha Idadi Ya Mapato Yao Kwasiku
Kwaajili Ya Zoezi Hili hili La Vitambulisho
Nauliza tu Kama Serikali Yetu Nisikivu Na Wanatamani Sote Kupata KITAMBULISHO Kwann Hapo Awali Hawakutengeneza Mazingira
Ya Wadau Wote Wakufanikisha hili zoezi Kutimia Kukaa Pmj Kama sasa wanavyo Fanya
Ninacho Jaribu Kuona Kinacho Fanyika
Niuonevu Na Unyanyasaji Kwawatu wachini Wasio Nahatia Hataka Kdg Katika hili
Mbaya Zaidi Wana Limits Line za kusajili Vipi ikiwa Mwananchi Nimfanya biashara Kama Wa Tigo pesa Mwenye Duka Zaidi Yatano
Hili suala Litamuasiri vipi Huyu Mfanyabiashara? Nikweli Tunateleza Dhana Yahapa kazi tu Au Hapa Tabu Tuu..!
Sent using Jamii Forums mobile app