LATTICE BOND
JF-Expert Member
- May 30, 2011
- 219
- 48
Dear Mkapa!
Nlikusikilza kwa ufupi kwenye hotuba yako ulotoa majuzi kule Songea kwakti wa sherehe za kumpongeza Askofu wa jimbo hilo. Msimamo wangu, huenda ndiyo msimamo wa wengine katika forum hii ni kwamba:-
1. Maendeleo ya nchi yeyote huletwa na Serikali kwa kuwatafutia raia wake Masoko na vyanzo vya mitaji
2. Kuwajengea/kuwatengenezea miundombinu yenye kurahisisha uzalishaji wao
3. Kulinda mali zao walizojikusanyia ndani na nje ya nchi.
4. ..............
5. ............
mwenye hoja 4,5,6,e.t.c za kumpinga mzee Ben tafadhali ongezea!!
Ninakemea kwa NGUVU zote aina hiyo ya lugha uliyoitoa kwani ni UPOTOSHAJI WA MAKSUDI wenye lengo la kuwafanya raia wa nchi hii waendelee kuwa watumwa ndani ya nchi yao!!
NAWASILISHA!!!!!!!
Nlikusikilza kwa ufupi kwenye hotuba yako ulotoa majuzi kule Songea kwakti wa sherehe za kumpongeza Askofu wa jimbo hilo. Msimamo wangu, huenda ndiyo msimamo wa wengine katika forum hii ni kwamba:-
1. Maendeleo ya nchi yeyote huletwa na Serikali kwa kuwatafutia raia wake Masoko na vyanzo vya mitaji
2. Kuwajengea/kuwatengenezea miundombinu yenye kurahisisha uzalishaji wao
3. Kulinda mali zao walizojikusanyia ndani na nje ya nchi.
4. ..............
5. ............
mwenye hoja 4,5,6,e.t.c za kumpinga mzee Ben tafadhali ongezea!!
Ninakemea kwa NGUVU zote aina hiyo ya lugha uliyoitoa kwani ni UPOTOSHAJI WA MAKSUDI wenye lengo la kuwafanya raia wa nchi hii waendelee kuwa watumwa ndani ya nchi yao!!
NAWASILISHA!!!!!!!