Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Ukifuatilia hoja za viongozi wapya wa ccm kuhusu mjadala wa kwamba wanaotuhumiwa ufisadi wajiondoe kwenye chama ama wataondelewa,ni kuwa wao wanaofikiria ni tofauti na wananchi wanaowashutumu.
kuna rist iliyotolewa na Katibu wa Chadema mwaka 2007 na hii mpya ya 2011.na katika hiyo yumo Rais Kikwete na mkutano wa juzi wa ccm waliondoa magamba(wanaodhani hawafai) kwa kutumia orodha hiyo lakini JK hanaondolewa.
Viongozi wapya wanapodai kuwa mafisadi ccm waondoke wenyewe ama wataondolewa kwa nguvu wao wanadhani mafisadi ni hakina nani hao.
kwa ufupi.nataka kujua orodha ya mafisadi(kwa tafsiri ya viongozi wa ccm) wanaotakiwa kuondoka,mbona hawataji?
kuna rist iliyotolewa na Katibu wa Chadema mwaka 2007 na hii mpya ya 2011.na katika hiyo yumo Rais Kikwete na mkutano wa juzi wa ccm waliondoa magamba(wanaodhani hawafai) kwa kutumia orodha hiyo lakini JK hanaondolewa.
Viongozi wapya wanapodai kuwa mafisadi ccm waondoke wenyewe ama wataondolewa kwa nguvu wao wanadhani mafisadi ni hakina nani hao.
kwa ufupi.nataka kujua orodha ya mafisadi(kwa tafsiri ya viongozi wa ccm) wanaotakiwa kuondoka,mbona hawataji?