Jamaa Hawa ni noma aisee.Hakika huwezi amini. Mheshimiwa Muhongo na viongozi wenzake wawili kama wanaweza kupiga nguna yote hiyo na kuondoka wanatembea bila kuyumba.
Lakini sii kuua wengine kwa njaa katika hali hii?View attachment 809134
HahahahaHapo ndio wamezeeka kiwango Na uwezo wa kula umepungua
Ha ha ha, huyu ni diwani wa CCM wapi?Mbona huku kwetu mtu mmoja anakula ugali sahani moja ndogo kama hivi.... View attachment 809154
Duh! Nadhani ndani yake wapo kumi, si bure...Mbona huku kwetu mtu mmoja anakula ugali sahani moja ndogo kama hivi.... View attachment 809154
Hiyo ni MusomaJamaa Hawa ni noma aisee.
Sii kwa nguna hiyo
Ni wahuku kwetu mkuu... tehteehhhHa ha ha, huyu ni diwani wa CCM wapi?
Aisee naona ulielewa sana yale mambo ya x:y na x+y=z. Heshima kwako jombaa.Naona ratio ya ugali Na mboga ni inversely proportional