Mary Chuwa
Senior Member
- Feb 24, 2011
- 177
- 40
katika Gazeti la Tanzania Daima tarehe 28 February 2011kuna taarifa kuwa viongozi wa serikali ngazi ya wilaya na mkoa wamesusia halfa iliyoandaliwa na Mbunge wa Arusha Mjini kwa tiketi ya CDM kwa ajili ya kukabidhi misaada ya ada na bima ya afya kwa watoto wapatao 400 kutoka katika kata za Manispaa ya Arusha,ambao wazazi na walezi wao hawajiwezi kimaisha.