Viola is missing

Mhhhh, hapa ni kumkamata tu Steve Nyerere na kumuhoji kinagaubaga huyu dada yupo wapi, yule dogo atasema ukweli tu kwani hana akili timamu.
 
Kati ya vitu vya hovyo mchonga alifanya ni kuunda aina hii ya Muungano kwamba mtu wa ZnZ anaweza watawala watanganyika
Kwani jiwe si alikua Mtanganyika mwenzenu,aliwafanyaje ?
 
For sure 😁 wengi wetu tungekua hatupo Tena humu ndani.

Kuna police department ya kufanya DORIA MTANDAONI so ikimpendeza anafanya kile utashi wake utakavyo ona Ina mpendeza ama inafaa

Binafsi Mimi napitaga kimya kimya Kama naaga maiti kwenye Facebook, Instagram,X, YouTube Si comment chochote
 
Tatizo.la.mafwele akishamaliza kubaka anaua afadhali angekuwa anabaka tu peke yake
Acha kumsingizia mkaka wa watu, mbona yule Mkenya na Mganda hakuwaua?

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, muda mwingine nae ana huruma.
 
Acha uoga mkuu. Kufa ni kubadilisha makao tu, alisema Mdude.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…