Viola is missing

Duh JPM bado anateka watu 😭 anataka kuharibu utawala wa huyu mama aliyeiponya nchi πŸ˜‚
 
Kati ya vitu vya hovyo mchonga alifanya ni kuunda aina hii ya Muungano kwamba mtu wa ZnZ anaweza watawala watanganyika
Hiyo hakuweka yeye, msimsingizie. Kwenye katiba yake, waziri mkuu was so powerful than makamu wa rais. Hili limeanza baada ya mfumo wa vyama vingi, mwaka 1995 wakati Mchonga alikua out of regime 10 years before the general election
 
Wasiojulikana nasikia huwa wana baka, huyo hawezi kurudi.
 
Tatizo staff wao mmoja ameingia CHAUMMA so hatupo secured sana kwa sasa. Hata PM sijibu kabisa maana wanaweza watumia ao so called "activist kukukamatisha!!
 
Maharamia wa chama dola kongwe hayajaacha kutaka damu za waTanzania tangu walipoanza kuteka, kuumizwa na kutupa watu maporini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…