wazinzi utawajua tu
Habari zenu wana-MMU,.
Mimi binafsi ninapotumia Konyagi na kuchanganya na soda ya Sprite hamu ya kufanya mapenzi huwa inanijia kwa kasi sana,.
Je wewe ni kinywaji gani hasa unapokitumia kinakupelekea kupata hamu ya kufanya mapenzi;..
Mtukulu....
Usingechangia hii thread ningekunywa sumu.