Mnadhani nyerere angekuwepo angekuwa chama kimoja na akina lowasa majambazi na mafisadi?
hata mie kamanda na mkubali full kutuliaNamkubali sana huyo mheshimiwa.
Wana JF leo asb ITV katika kipindi cha Kumekucha,katika mahojiano ya Mbunge wa Musoma Mjini na watangazaji wa ITV,eti kwani yeye ni mtoto wa mdogo wake na baba wa TAIFA na Muasisi wa CCM kwa nini yupo CHADEMA.
Duh amewajibu kuwa hajaona mkataba kati ya ukoo wa Nyerere na CCM kwa hiyo hata CHADEMA ni chama cha Watanzania kama CCM.
Ila Dogo yupo fit kwenye mahojiani na waandishi . Sjui nani ana Mapungufu kwenye mashine za CHADEMA(wabunge)
ukitaka kujua mwalimu aliondoka na baraka za chama cha mapinduzi hata sasa hivi tunavyoongea mama maria naye ni chadema mtupu!
Hivi wazanaki wanarithi majina ya ukoo toka kwa mama zao? Hebu fafanua hiyo taarifa yako.Sahihisho! Sio mtoto wa mdogo wake Nyerere (Kiboko) ila ni mjukuu wa mdogo wake Nyerere. Yaani mdogo wa Nyerere kwa jina KIBOKO alizaa binti na binti akamzaa Vincent na wengine.
Ukitaka kujua Mwalimu aliondoka na baraka za chama cha mapinduzi hata sasa hivi tunavyoongea Mama Maria naye ni Chadema mtupu!
Sahihisho! Sio mtoto wa mdogo wake Nyerere (Kiboko) ila ni mjukuu wa mdogo wake Nyerere. Yaani mdogo wa Nyerere kwa jina KIBOKO alizaa binti na binti akamzaa Vincent na wengine.
josephat kiboko Nyerere(jk nyerere)nikusahihishe hapo ni mtoto wa mdogo wake mwalimu nyerere ambaye anaitwa kiboko
josephat kiboko Nyerere(jk nyerere)
acha umbea kaeleza mwenyewe kuwa ni mtoto wa Jsephat Kiboko Nyerere ambae ni mdogo wake na Mwalimu Nyerere,kati yako na yeye nani mkweli?
Kweli mkuu huyu ni mtoto wa marehemu Joha Ali Nyabange ambaye aliolewa na Kiboko Nyerere. Hivyo naomba kufuta usemi wanajanvi.
umesomeka vyema kaka BIG UPKweli mkuu huyu ni mtoto wa marehemu Joha Ali Nyabange ambaye aliolewa na Kiboko Nyerere. Hivyo naomba kufuta usemi wanajanvi.