Source sahihi ni : Vincent Nyerere apita bila kupingwa
Jimbo hili si ni lile ambalo wananchi wake jana walionyeshwa na ITV wamerudisha kadi za Chama cha Jembe na Nyundo wakipiga kelele kuwa dhuluma na rushwa vimezidi huku wakitangaza kwa kujiamini kuwa watampigia kura wagombea wa upinzani? Wanaosema vijijini hakuna mwamko wa kuichukia CCM wakafanye tena homeworks zao!
Source sahihi ni : Vincent Nyerere apita bila kupingwa