Safari_ni_Safari JF-Expert Member Joined Oct 5, 2007 Posts 23,265 Reaction score 17,135 Oct 8, 2012 #1 Wakuu, Kiwanda kipya cha chakula cha mifugo kinahitaji malighafi zifuatazo. Tafadhali leteni quotations (per tonne) mpaka kiwandani Dar es Salaam Mahindi Mashudu Dagaa vumbi Chumvi
Wakuu, Kiwanda kipya cha chakula cha mifugo kinahitaji malighafi zifuatazo. Tafadhali leteni quotations (per tonne) mpaka kiwandani Dar es Salaam Mahindi Mashudu Dagaa vumbi Chumvi
R rodrick alexander JF-Expert Member Joined Feb 12, 2012 Posts 18,008 Reaction score 25,625 Oct 8, 2012 #2 wao ndio wanatakiwa waseme wananunua kwa shilingi ngapi? Inapunguza mamiddleman
TANMO Platinum Member Joined Apr 12, 2008 Posts 12,084 Reaction score 12,679 Oct 9, 2012 #3 Kiwanda Kinaitwaje? Contacts zao?
Easyway JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 2,606 Reaction score 3,713 Oct 9, 2012 #4 kiwanda kinaitwaje?kipo Dar es salaam sehemu ganii?utaratibu wa kuwapelekea upoje?wananunua mashudu ya aina gani?.wananunua mahindi ya aina gani?wanalipaje?
kiwanda kinaitwaje?kipo Dar es salaam sehemu ganii?utaratibu wa kuwapelekea upoje?wananunua mashudu ya aina gani?.wananunua mahindi ya aina gani?wanalipaje?