Vile tunanuniwa tukikosa hela ya 'Diapers'

Vile tunanuniwa tukikosa hela ya 'Diapers'

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,286
Reaction score
10,831


 
Jamaa kakosa pesa kwa siku hio kaamua kutumia karatsi la nailoni kufanya kama pampas ya mtoto.
Mkewe amekasilika sana na kumchukia mmewe kisa tu anataka cha dukani cha kisasa.

Jamani maisha ni mabadiliko na kuvumiliana.

 
Kuna wanaume hawataki wake zao wafanye kazi au biashara.Wakati huohuo hao wanaume hawana uwezo wa kukidhi mahitaji ya familia.Katika hali Kama hiyo kwanini mke asichukie?
 
Bila picha ya aliyekasirika huu uzi ni batili.😎
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom