Vile mashauzi yalivyoniumbua

Kumbe mna roho mbaya hadi wenye kwa wenyewe mie nilijuaga roho mbaya kwetu tuu wanaume
 
Tatizo kubwa wanawake wa kibongo kila dakika alipo hasa mabinti, anawaza, K yangu hivi K yangu vile,, yaani mawazo hayaendi mbali,,
Wanawake wa kizungu hilo hawana
Kumbe nawe umeliona hilo yaani wanawaza sana ngono hawa wanawake wakibongo ila sasa waombe hiyo mbususu wanaigeuza kitega uchumi
 
Waliona uwatendei haki, walitaka uwatongoze
 
Wengine kwenye mihangaiko wanaweza kukuona na haina shida sana kama hamfahamiani,ishu ni smartphones siku hizi,unashangaa umepigwa picha bila kujua na kurushwa mtandaoni
 
Roho zetu mbaya hazifanyi nyie kuwa watakatifu tupo kundi moja la wadhambi
Kuna siku moja nimetoka kazini mapema ,Sasa mitaa ya home kuna glocery si mbali na home ,nikasema ngoja nishtue na mbili halafu niende home ,akatokea msichana akaagiza Savannah 3 ,nikamsemesha hajibu kabisa na nyodo,na nilitaka kumwuliza mbona sijawahi kukuona huu mtaa unaishi wapi ,baadaye narudi home namkuta kumbe alikuja kumtembelea rafiki yake,aisee kuniona alikosa pozi,Ila nilijifunza kitu ,ningemjibu vibaya ndo ningeharibu zaidi
 
😂😂😂😂, Alikuja kumtembelea rafiki yake ambae ni mke wako? Eeeh lazima aliona usiku mfupi
 
Kuna kipindi cha kiangazi kimoja mwaka 2017 kama sikosei, Tulikua tumechill na wadau maeneo ya Sokoni tunaendelea kupiga biashara sasa kama mnavyojua Soko halikosi wezi,

Akatokea hyo mdada anatembea Catwalk bila kujua nyuma anafatiliwa na jizi linalojulikana likiwa linamendea simu iliyo ndani ya pochi yake iliyokua haijafungwa zipu.

Basi katika harakati za kumuokoa tukamuita Bidada bidada eee[emoji23][emoji23][emoji23] Akagoma kutusikiiliza akfyonza tu akasepa kilichomtokea baadae anapita pale pale analia kwamba wamemuibia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nilibaki na wadau tunamcheka kwa kukataa kusikiliza.
 
Mi ni enzi hizo niko primary ila sijasahau hadi leo.

Nakumbuka nilikua nachapwa sana ishu ya kutochomekea shati. Asubuhi moja nikaona ili kusolve tatizo acha nichomekee kwenye chupi, hizi za zamani ambazo mnati wake pale kiunoni unakaza kinoma.

Sasa bwana kumbe kaptula imeshuka kitambo na watu wanakaona kachupi kangu kitambo sana na hawaniambii wanaishia kucheka tu, nikaja kuambiwa baadaee na dada flani kua wewe chomekea viziri, daah kucheki chupi limepanda juu na kaptula imeshuka na sikuhisi kitu mda wote na mda ananambia tulikua assemble aisee niliumbuka atari.
 
Hahaha na hili joto niwe mkweli pichu siivai hata nikiwa naenda mahangaikoni naweka tight tu km nguo ni nyepesi sasa sijui nitainamishaje kichwa hiki siku nikipata ajali ya namna hiyo
Tight haibani kwani?
 
Kero ya kyupi ni kwenye mikunjo ya paja, ukiwa na mwili kidogo, huwa inakera Sana, tofauti na tight
Niliwahi kua kwenye mahusiano na dada mmja Sasa ikawa kila nikienda kula mbususu nakuta hajavaa kyupi...siku moja nikamuuliza kwa nn huvaagi kyupi akanambia Kama ninataka avae kyupi Basi ahamie kwangu..! Nikauliza kwa nn?

Akasema akivaa kyupi Sasa ule upande unaoshikilia mbususu isipotee akiguswa tu na hyo kyupi anataka mpini Mara moja Yani akivaa kyupi anakaa tyari tyari inalowa yenyewe tu.

Hvi kweli watu wa hvi wapo tofauti na huyu niliekutana nae au alikua na pepo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…